Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Na ambaye hajawahi soma baibo? ana refer sodoma na Gomora pia?
Cha kujiuliza, hata asiyeamini kabisa anajiachia freely??
Wanaojiachia jamii inawasuta kama wamepinda, sijui wako vipi, hata ukienda huko wanakohubiri uhuru wa binadamu afanye atakalo
Mfano: JLO walivyo msema kwa kukwapua kitoto muda mfupi tu baada ya divorce
Mali yuangu mwenyewe matumizi inipangie jamii, inahu
Cha kujiuliza, hata asiyeamini kabisa anajiachia freely??
Wanaojiachia jamii inawasuta kama wamepinda, sijui wako vipi, hata ukienda huko wanakohubiri uhuru wa binadamu afanye atakalo
Mfano: JLO walivyo msema kwa kukwapua kitoto muda mfupi tu baada ya divorce
Mali yuangu mwenyewe matumizi inipangie jamii, inahu
Sodoma na Gomorah