Madhara ya Kukandamiza NGONO........!

Kama nakuona vile mkuu Kaizer...huchezi mbali na vinono!!
nivea..umemuona mtaalamu huyo?


Halafu mwambie Sweet Redds kwamba tunamsubiri kwa hamu...Mwambie asimuudhi babu kwani laana yake ni balaa!!

Babu DC!!

hahaha mkuu mwennzangu Dark City Mtambuzi kashatufundisha kusongesha, basi kazi ni moja tu, si unaona mwenyewe bana kamenona kabisa haka halafu ka kunyumba lol

Ngoja nimpe huu ujumbe wako Murua aufanyie kazi lol
 
Last edited by a moderator:
Ndefu mnoo,ungeiwekea hata vi paragraph ili itie matumaini ya kwamba inakwisha sasa hivi,any way its a good somo.
 
Hii hapa
Definition of 'Marginal Utility', the additional satisfaction a consumer gainsfrom consuming one more unit of a good or service.

For example, if you were really thirsty you'dget a certain amount of satisfaction from a glass of water. This satisfactionwould probably decrease with the second glass, and then decrease even more withthe third glass. The additional amount of satisfaction that comes with eachadditional glass of water is marginal utility.
Hebu tukumbushe basi mjukuu mpendwa, boss wa wajukuu wote @ Kongosho,

Hiyo margina utility inasemaje?

Babu DC!!
 
"NO SEX WITHOUT MARRIAGE"
Sidhan kama kuna sayansi mbele ya Mungu vitabu vyote vya dini vinakataza, acha nijikandamize kakini kama sijaoa NO NGONO
Mungu atanisaidia
 
Ndio, kunakwolifai


Jamii ujue inakataza kataza sana kupeana uroda, imeweka masharti weee ambayo wala hayawahusu wafanyayo wawili. Angalia asemavyo Wema, Lulu, na wengineo.
Isingekuwa stigma ya jamii watu wengi sana wangejiachia na miuroda hadharani
lakini hawawezi sababu ni 'vibaya=dhambi, huna staha, harage la mbeya na mengineyo'

Hii imefanya vichwa vya watu vimekuwa uroda oriented hata kama hawafanyi.

Sitoi uroda hovyo hovyo sababu nimeaminishwa tangu utotoni mwanamke kujiheshimu, ni mbegu imepandwa nafsini, nikienda kinyume na hilo inanisuta.

Ila kiukweli ningeweza kung'oa mbegu hiyo ningejiachia tu, nani asiyependa starehe iliyo ndani ya uwezo wake? (Assuming hakuna hofu ya ukimwi na mimba zisizotarajiwa pia)

nakupenda kwa vile una akili za fasta fasta. sasa unadhani kunyimwa unyumba kunaqualify hapa kwa mtambuzi? lol
 
Zambia kuna makaburi yameandikwa pale mlango wa kuingilia
'One day, we were like you'

"NO SEX WITHOUT MARRIAGE"
Sidhan kama kuna sayansi mbele ya Mungu vitabu vyote vya dini vinakataza, acha nijikandamize kakini kama sijaoa NO NGONO
Mungu atanisaidia
 
YUKO WAPI HUYO SATAN HAPA POTEZEA TUSIKWAZANE HAPA JF IS STREEESSSSS FREEEE ZONE LOL NENDA SIASA KULE NAWE UKANDAMIZE SIASA AU SIO Mtambuzi atuache sie tukandamize ngono huku lol

Kuhalalisha ngono na watu kutembea uchi sio ushetani Huo.
 
Last edited by a moderator:
Ndio, kunakwolifai


Jamii ujue inakataza kataza sana kupeana uroda, imeweka masharti weee ambayo wala hayawahusu wafanyayo wawili. Angalia asemavyo Wema, Lulu, na wengineo.
Isingekuwa stigma ya jamii watu wengi sana wangejiachia na miuroda hadharani
lakini hawawezi sababu ni 'vibaya=dhambi, huna staha, harage la mbeya na mengineyo'

Hii imefanya vichwa vya watu vimekuwa uroda oriented hata kama hawafanyi.

Sitoi uroda hovyo hovyo sababu nimeaminishwa tangu utotoni mwanamke kujiheshimu, ni mbegu imepandwa nafsini, nikienda kinyume na hilo inanisuta.

Ila kiukweli ningeweza kung'oa mbegu hiyo ningejiachia tu, nani asiyependa starehe iliyo ndani ya uwezo wake? (Assuming hakuna hofu ya ukimwi na mimba zisizotarajiwa pia)


Na hii ndiyo post ya leo

Na watu wote waseme "Amen" to Kongosho
 
Last edited by a moderator:
umesema kweli kabisa mkuu, na ndio maana nawashauri wadada humu wasinyimane wapeane tu maana itafika mahali kila mtu ataona hiyo kitu ni ya kawaida kabisa, lakini huko kufichwa kumefanya iwe na thamani isiyostahili na sasa inajenga nyumba na kununua magari...


aysee...........kama siamini ninachokisoma vileeee.......................hiyo red unataka wadada wawe malesbo?!?!?! khaaaaaaa
kweli hii dini yako ya kale hiii..........mashikolo mageni!!!
 


Ukibahatika kutembelea katika hospitali za vichaa, utashangaa kugundua kwamba karibu asilimia 98 ya wagonjwa hao wameugua kichaa kutokana na kukandamiza tendo la kujamiiana. Pia asilimia 99 ya wanawake wanaougua mpagao au umanyeto (hysteria) hutokana na kukandamiza tendo la kujamiiana.

Hii takwimu imekaa ki-Mitt Romney sana Mtambuzi..ina maana vitu kama frustrations za pesa, kazi, kulogana, organic disorders kwenye brains n.k vinachangia 2% tu ya ukichaa??...nna shaka.
 
Last edited by a moderator:
YUKO WAPI HUYO SATAN HAPA POTEZEA TUSIKWAZANE HAPA JF IS STREEESSSSS FREEEE ZONE LOL NENDA SIASA KULE NAWE UKANDAMIZE SIASA AU SIO Mtambuzi atuache sie tukandamize ngono huku lol
nivea, watu kama hao ni wa kuwapotezea tu.
Huoni mie huw asiwajibu, kama unaona nilichokiweka kakikufai we chapa lapa, maana kuna watu wamkaririshwa elimu za mapokeo na hawataki kuushughulisha ubongo kujifunza jambo lingine jipya kwa ajili ya kujifikirisha.

Ni niani alikwambia nono ni mbaya?

Hata hao manabii walikuwa na wanawake wengi na mwingine alifikia hata kumsaliti jamedari wake kwa kumpeleka mstari wa mbele vitani afe ili yeye apate kusongesha na mke wake.......... Chezea NGONO weye, hao wahubiri dini kila siku wanaimba wimbo huo huo lakini ndio hao wanchemka ngono kwa kuzaa na waumi wao au wake za watu

Hebu tuwache sie tuchemke NGONO.
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi Kwa mara nyingine tena, huwa nawazaga sana kuhusu hili jambo (ngono) udhambi wake upo wapi?? lakini nashukuru kidogo leo umenielesha, lakini lazima niendelee na uchambuzi wangu,, uwe na siku njema kaka
 
hapa sio uingereza mkuu we just talk and kidding kama utalichukua lizima lizima usuchanganye na za kwako well an fine.ushauri wa jf changanya na akili zako .

Sasa mbona unampa siri ya jeshi nivea.............?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom