HURIS
Member
- May 18, 2019
- 72
- 60
Kwamba unaweza kuwa mkimya afu ukiongea still unatoa mashudu tu!!!Ukiongea si unatoa points lakini mkuu?
Kwamba unaweza kuwa mkimya afu ukiongea still unatoa mashudu tu!!!Ukiongea si unatoa points lakini mkuu?
😂😂😂😂😂 huyo mkeo jau mkuu ni kama X wangu flani niliemkimbia ilibidi nianze kumfundisha jinsi ya kuanzisha story maana baada ya salamu na kujuliana hali hana story ila anataka apigiwe simu kila saa.Kuna kipindi inatakiwa mnapiga story na mpenzi wako.. Sasa yeye ni kusikiliza na kucheka tu basiii
Pole sana mkuu, ni mwanasheria nn 🤣🤣🤣 kuna jamaangu anakoma kuringa sahivi na hio chuchunge ya LLB hapo ndani.Wangu ni mjuaji sana wa mambo ya i dunia aisee
Hahahaaaaaaa ila vipi mida ya kazi ikifika si anaongea.Nimeamua kugida IMAGI tu mpaka mida ambayo KAPUNI,HUBA na KITIMTIM zinapokuwa zimeshaisha ndio naelekea kulaza ubavu maana kama kuongea na makofi nishacharaza sana mwishowe nikahisi jela inaniita nikaamua kuacha sikio la kufa.
Eh kwenye kibarua chake yupo vizuri ila shida ni hapo kuharibiana siku tu ndio kero...Hahahaaaaaaa ila vipi mida ya kazi ikifika si anaongea.
Noma sana aisee.. yaani jau kinoma😂😂😂😂😂 huyo mkeo jau mkuu ni kama X wangu flani niliemkimbia ilibidi nianze kumfundisha jinsi ya kuanzisha story maana baada ya salamu na kujuliana hali hana story ila anataka apigiwe simu kila saa.
Mke akiwa too cool inazingua hasa kwa mtu Extrovert kama mimi.
Hahah redio mbao ni msala aisee, nafikiri 80% ya mabaharia wanaoning'inia kwenye viti vya bar mida ya saa 9-4 usiku ni wanaume ambao wakiwahi home ni kelele tu. Bora urudi ukute redio ishalala.Eti Clouds FM,hajui balaa lake huyo!!!!!!!!!!unaweza kujikuta kama una kosa umefanya unabaki unasubiria sehemu kwanza giza liingie ndio urudi nyumbani,au kama ni ofisini unatafuta hata vikazi visivyo na maana ili tu muda uende utoke saa moja usiku...
Mtahitaji redio nyingi ndani pamoja na tv kila chumba ili kuchangamsha nyumba 🤣🤣🤣🤣🤣 vinginevyo mtakaribisha majini ndani maana nyumba imetulia mno.





Hahahah kuongea sio tatizo, swala ni mnaongeaje mama, maana yaweza kuwa mnachambana hadi asubuhi 😂😂😂😂 ila kwa soga tu inakuwa freshi.Wengine tunaongea mpaka asubuhi tumekutana wote waongeaji![]()
Udadisi wako umenifanya nihisi na wewe ni mtu mkimyaUlichokiongelea


Kama hisia zangu ni sahihi basi wewe ni moja ya mfano
.Udadisi wako umenifanya nihisi na wewe ni mtu mkimyaKama hisia zangu ni sahihi basi wewe ni moja ya mfano
.




Hahahah kuongea sio tatizo, swala ni mnaongeaje mama, maana yaweza kuwa mnachambana hadi asubuhiila kwa soga tu inakuwa freshi.



Ilinikuta hiyo babu yaani kurudi hm issue. Ikawa nashinda bar tu night kali nikirudi nakuta kazimika basi afadhali.Tulioa mavuvuzela tunajuta huku ndo maana tunaogopa kurudi nyumbani tunaanzia bar
Hongera sana mkuu,hilo sio tatizo hata kidogo kwanza jiponeze kua na mwanadada wa karama hiyo, jikite na uwezo wake chanya wadada wa leo wengi wanamapungufu yanayosononesha mioyo ya wakaka sasa hilo la kwako kwakweli ni maakuzi yake aliyonayo. usichokonoe sana mkuu wewe mjenge pole pole maana hiyo hali umemkuta nayo na amekua nayo kwa miongo kadhaa hiyo ukitaka kumould aendane na hitaji lako inabidi pia ikuchukue mda kumjenga na usichoke. nakupa heko tu kua na jembe la hivyoHabari za majukumu wakuu?
Kiukweli mademu wakimya sana wana boa mno.. Una kuta demu mzurii kabisa na elimu yake lakini yupo kama bubu hawezi hata kuchangia maada yoyote katika vikao vya ukoo au familia. Yaani kila kitu mpaka mwanaume aseme, yeye ni kusikiliza tu yaani hachangii chochote mpaka kero..
Back to the main point..
Yaani huyu demu wangu nafikiri ndo rais wa mademu wakimya duniani, nisipo msemesha mimi jua siku hiyo nzima hata ongea.
Mashemeji zake na mawifi zake wote wanamuogopa yaani baada ya salamu tu hana time nao tena.
Mi huwa naongea nae kwa kumuuliza vi maswali vya hapa na pale ndo wakati anajibu hapo ndo tunapiga story hivo.. Sasa inafika wakati na mimi maswali ya kumuuliza yanaisha tunabaki tunatazamana tu.
Tuna miaka mitatu kwenye mahusiano ila yupo vile vile tu.. Nilipo jaribu kumuuliza kuhusu ukimya wake akasema ndivo alivo tuNi mtu anae penda sana kujifunza vitu vingi, akimaliza kazi zake anaenda kwenye tv kufatilia BBC na CNN news pia ni shabiki mzurii wa mpira wa miguu anaweza taja hata kikosi kizima cha buyern munchen..
Watu wanamuogopa mnoo hata wageni hawaji siku akiwepo home.. Yaani hata ushoboke vipi hana time na wewe.Ni mzurii sana wa sura na umbo na elimu nzuri anayo shida ipo hapo kwenye ukimya ulio pitiliza..Alafu yupo emotional sana, yaani nikimtia mkwara kidogo tu atashinda analia siku hiyo..
Kweli "too much of any thing is harmful"
Simaanishi napenda mademu wanaoongea kama chiriku.. Kila
kitu kiwe cha wastani
Location: dodoma