Mademu wakimya mnakera mnoo

Mademu wakimya mnakera mnoo

Kuna kipindi inatakiwa mnapiga story na mpenzi wako.. Sasa yeye ni kusikiliza na kucheka tu basiii
😂😂😂😂😂 huyo mkeo jau mkuu ni kama X wangu flani niliemkimbia ilibidi nianze kumfundisha jinsi ya kuanzisha story maana baada ya salamu na kujuliana hali hana story ila anataka apigiwe simu kila saa.

Mke akiwa too cool inazingua hasa kwa mtu Extrovert kama mimi.
 
Nimeamua kugida IMAGI tu mpaka mida ambayo KAPUNI,HUBA na KITIMTIM zinapokuwa zimeshaisha ndio naelekea kulaza ubavu maana kama kuongea na makofi nishacharaza sana mwishowe nikahisi jela inaniita nikaamua kuacha sikio la kufa.
Hahahaaaaaaa ila vipi mida ya kazi ikifika si anaongea.
 
Hahahaaaaaaa ila vipi mida ya kazi ikifika si anaongea.
Eh kwenye kibarua chake yupo vizuri ila shida ni hapo kuharibiana siku tu ndio kero...

Ni mtu flani anapenda kuhukumu yani. Anaweza kuona kitu flani badala ya kuhoji kwanza akusikilize ana conclude directly we ndio umefanya au umesababisha. She is too judgmental mzee, ukijaribu kujielezea ndio kama umetupa kijinga cha moto kwenye Petrol mwishowe namnyamazisha na kofi tu maana hatakaa anyamaze hata umpe ushindi.
 
😂😂😂😂😂 huyo mkeo jau mkuu ni kama X wangu flani niliemkimbia ilibidi nianze kumfundisha jinsi ya kuanzisha story maana baada ya salamu na kujuliana hali hana story ila anataka apigiwe simu kila saa.

Mke akiwa too cool inazingua hasa kwa mtu Extrovert kama mimi.
Noma sana aisee.. yaani jau kinoma
 
Eti Clouds FM,hajui balaa lake huyo!!!!!!!!!!unaweza kujikuta kama una kosa umefanya unabaki unasubiria sehemu kwanza giza liingie ndio urudi nyumbani,au kama ni ofisini unatafuta hata vikazi visivyo na maana ili tu muda uende utoke saa moja usiku...
Hahah redio mbao ni msala aisee, nafikiri 80% ya mabaharia wanaoning'inia kwenye viti vya bar mida ya saa 9-4 usiku ni wanaume ambao wakiwahi home ni kelele tu. Bora urudi ukute redio ishalala.
 
Habari za majukumu wakuu?

Kiukweli mademu wakimya sana wana boa mno.. Una kuta demu mzurii kabisa na elimu yake lakini yupo kama bubu hawezi hata kuchangia maada yoyote katika vikao vya ukoo au familia. Yaani kila kitu mpaka mwanaume aseme, yeye ni kusikiliza tu yaani hachangii chochote mpaka kero..
Back to the main point..

Yaani huyu demu wangu nafikiri ndo rais wa mademu wakimya duniani, nisipo msemesha mimi jua siku hiyo nzima hata ongea.
Mashemeji zake na mawifi zake wote wanamuogopa yaani baada ya salamu tu hana time nao tena.
Mi huwa naongea nae kwa kumuuliza vi maswali vya hapa na pale ndo wakati anajibu hapo ndo tunapiga story hivo.. Sasa inafika wakati na mimi maswali ya kumuuliza yanaisha tunabaki tunatazamana tu.

Tuna miaka mitatu kwenye mahusiano ila yupo vile vile tu.. Nilipo jaribu kumuuliza kuhusu ukimya wake akasema ndivo alivo tuNi mtu anae penda sana kujifunza vitu vingi, akimaliza kazi zake anaenda kwenye tv kufatilia BBC na CNN news pia ni shabiki mzurii wa mpira wa miguu anaweza taja hata kikosi kizima cha buyern munchen..

Watu wanamuogopa mnoo hata wageni hawaji siku akiwepo home.. Yaani hata ushoboke vipi hana time na wewe.Ni mzurii sana wa sura na umbo na elimu nzuri anayo shida ipo hapo kwenye ukimya ulio pitiliza..Alafu yupo emotional sana, yaani nikimtia mkwara kidogo tu atashinda analia siku hiyo..
Kweli "too much of any thing is harmful"

Simaanishi napenda mademu wanaoongea kama chiriku.. Kila
kitu kiwe cha wastani

Location: dodoma
Hongera sana mkuu,hilo sio tatizo hata kidogo kwanza jiponeze kua na mwanadada wa karama hiyo, jikite na uwezo wake chanya wadada wa leo wengi wanamapungufu yanayosononesha mioyo ya wakaka sasa hilo la kwako kwakweli ni maakuzi yake aliyonayo. usichokonoe sana mkuu wewe mjenge pole pole maana hiyo hali umemkuta nayo na amekua nayo kwa miongo kadhaa hiyo ukitaka kumould aendane na hitaji lako inabidi pia ikuchukue mda kumjenga na usichoke. nakupa heko tu kua na jembe la hivyo
 
Back
Top Bottom