Mademu wakimya mnakera mnoo

Mademu wakimya mnakera mnoo

Yani yna2 una aibu namna hio? Aisee kuna demu nilimuacha kwa sababu ya aibu za kijinga, it was too much for me. Imagine nishamkaza mara kadhaa ila kila tukifika eneo la tukio anaficha uso mara tuzime taa aargh. Halafu wanawake wenye aibu mpo too emotional, yani kwa ulalamishi hamna upinzani.

Nilichoka mapema mno na huo upumbavu kabisa nikaona hamna namna ni kutafta sababu ya kupiga chini tu. Mwanamke hata mkitembea kushikwa mkono anaona aibu waiii
aibu yangu ipo kwa wageni tu na watu nisioawazoea..kwa wa ubani Sina aibu hata robo.

Hapo kwenye ulalamishi Sina kwakweli na namshukuru Mungu kwa Hilo..Mimi sio muongeaji Sana ila napenda mno kucheka na hii la kucheka hata nikiwa na mwandani wangu hua anafurahia kwakweli.

Hapo kwenye kushikana mikono hua natamani anibebe kabisaaa aibu sinaga hata kidogo nikiwa na mwenzangu Yani sina
 
aibu yangu ipo kwa wageni tu na watu nisioawazoea..kwa wa ubani Sina aibu hata robo.

Hapo kwenye ulalamishi Sina kwakweli na namshukuru Mungu kwa Hilo..Mimi sio muongeaji Sana ila napenda mno kucheka na hii la kucheka hata nikiwa na mwandani wangu hua anafurahia kwakweli.

Hapo kwenye kushikana mikono hua natamani anibebe kabisaaa aibu sinaga hata kidogo nikiwa na mwenzangu Yani sina
Basi baharia atakuwa anainjoy sana mapenzi na wewe.
Napenda sana mwanamke anaecheka cheka akiwa na mimi tu ila asimchekee kila mtu.

Unanikumbusha my finest EX Girl, alikuwa na hako katabia hadi sikuwahi kumchoka kwa kipindi chote tulichokuwa pamoja.
 
Habari za majukumu wakuu?

Kiukweli mademu wakimya sana wana boa mno.. Una kuta demu mzurii kabisa na elimu yake lakini yupo kama bubu hawezi hata kuchangia maada yoyote katika vikao vya ukoo au familia. Yaani kila kitu mpaka mwanaume aseme, yeye ni kusikiliza tu yaani hachangii chochote mpaka kero..
Back to the main point..

Yaani huyu demu wangu nafikiri ndo rais wa mademu wakimya duniani, nisipo msemesha mimi jua siku hiyo nzima hata ongea.
Mashemeji zake na mawifi zake wote wanamuogopa yaani baada ya salamu tu hana time nao tena.
Mi huwa naongea nae kwa kumuuliza vi maswali vya hapa na pale ndo wakati anajibu hapo ndo tunapiga story hivo.. Sasa inafika wakati na mimi maswali ya kumuuliza yanaisha tunabaki tunatazamana tu.

Tuna miaka mitatu kwenye mahusiano ila yupo vile vile tu.. Nilipo jaribu kumuuliza kuhusu ukimya wake akasema ndivo alivo tuNi mtu anae penda sana kujifunza vitu vingi, akimaliza kazi zake anaenda kwenye tv kufatilia BBC na CNN news pia ni shabiki mzurii wa mpira wa miguu anaweza taja hata kikosi kizima cha buyern munchen..

Watu wanamuogopa mnoo hata wageni hawaji siku akiwepo home.. Yaani hata ushoboke vipi hana time na wewe.Ni mzurii sana wa sura na umbo na elimu nzuri anayo shida ipo hapo kwenye ukimya ulio pitiliza..Alafu yupo emotional sana, yaani nikimtia mkwara kidogo tu atashinda analia siku hiyo..
Kweli "too much of any thing is harmful"

Simaanishi napenda mademu wanaoongea kama chiriku.. Kila
kitu kiwe cha wastani

Location: dodoma
Ulimpataje?
 
Ma'mtu makimya nayaogopaga sana mimi,huwezi jua linakufikiriaje!!Hapana asee.!!
 
Habari za majukumu wakuu?

Kiukweli mademu wakimya sana wana boa mno.. Una kuta demu mzurii kabisa na elimu yake lakini yupo kama bubu hawezi hata kuchangia maada yoyote katika vikao vya ukoo au familia. Yaani kila kitu mpaka mwanaume aseme, yeye ni kusikiliza tu yaani hachangii chochote mpaka kero..
Back to the main point..

Yaani huyu demu wangu nafikiri ndo rais wa mademu wakimya duniani, nisipo msemesha mimi jua siku hiyo nzima hata ongea.
Mashemeji zake na mawifi zake wote wanamuogopa yaani baada ya salamu tu hana time nao tena.
Mi huwa naongea nae kwa kumuuliza vi maswali vya hapa na pale ndo wakati anajibu hapo ndo tunapiga story hivo.. Sasa inafika wakati na mimi maswali ya kumuuliza yanaisha tunabaki tunatazamana tu.

Tuna miaka mitatu kwenye mahusiano ila yupo vile vile tu.. Nilipo jaribu kumuuliza kuhusu ukimya wake akasema ndivo alivo tuNi mtu anae penda sana kujifunza vitu vingi, akimaliza kazi zake anaenda kwenye tv kufatilia BBC na CNN news pia ni shabiki mzurii wa mpira wa miguu anaweza taja hata kikosi kizima cha buyern munchen..

Watu wanamuogopa mnoo hata wageni hawaji siku akiwepo home.. Yaani hata ushoboke vipi hana time na wewe.Ni mzurii sana wa sura na umbo na elimu nzuri anayo shida ipo hapo kwenye ukimya ulio pitiliza..Alafu yupo emotional sana, yaani nikimtia mkwara kidogo tu atashinda analia siku hiyo..
Kweli "too much of any thing is harmful"

Simaanishi napenda mademu wanaoongea kama chiriku.. Kila
kitu kiwe cha wastani

Location: dodoma
Itakua hamna chemistry.. Yani hamna historia ya kutosha mliyo share pamoja.. Mme jikuta mshaoana tu
 
Habari za majukumu wakuu?

Kiukweli mademu wakimya sana wana boa mno.. Una kuta demu mzurii kabisa na elimu yake lakini yupo kama bubu hawezi hata kuchangia maada yoyote katika vikao vya ukoo au familia. Yaani kila kitu mpaka mwanaume aseme, yeye ni kusikiliza tu yaani hachangii chochote mpaka kero..
Back to the main point..

Yaani huyu demu wangu nafikiri ndo rais wa mademu wakimya duniani, nisipo msemesha mimi jua siku hiyo nzima hata ongea.
Mashemeji zake na mawifi zake wote wanamuogopa yaani baada ya salamu tu hana time nao tena.
Mi huwa naongea nae kwa kumuuliza vi maswali vya hapa na pale ndo wakati anajibu hapo ndo tunapiga story hivo.. Sasa inafika wakati na mimi maswali ya kumuuliza yanaisha tunabaki tunatazamana tu.

Tuna miaka mitatu kwenye mahusiano ila yupo vile vile tu.. Nilipo jaribu kumuuliza kuhusu ukimya wake akasema ndivo alivo tuNi mtu anae penda sana kujifunza vitu vingi, akimaliza kazi zake anaenda kwenye tv kufatilia BBC na CNN news pia ni shabiki mzurii wa mpira wa miguu anaweza taja hata kikosi kizima cha buyern munchen..

Watu wanamuogopa mnoo hata wageni hawaji siku akiwepo home.. Yaani hata ushoboke vipi hana time na wewe.Ni mzurii sana wa sura na umbo na elimu nzuri anayo shida ipo hapo kwenye ukimya ulio pitiliza..Alafu yupo emotional sana, yaani nikimtia mkwara kidogo tu atashinda analia siku hiyo..
Kweli "too much of any thing is harmful"

Simaanishi napenda mademu wanaoongea kama chiriku.. Kila
kitu kiwe cha wastani

Location: dodoma

Kama hupendi mwanamke mkimya ya nini kuendelea kuwa naye? Stop wasting her time. Tafuta mwanamke atakayekupa furaha na mwenye sifa ambazo moyo wako unatamani.

Kumbuka wewe ukisema sisizitaki hizi, wengine wanawaza ntazipata lini.
 
Wenzio wanapenda wa hivyo we unasema anakukera.
Sema mi sio mpole ila mdomo wangu haujawahi kuwa kikwako kwenye mahusiano yangu.
Na ukinikosea naongea jamani mpaka hasira ziishe na wewe lazima ujisikie dhambi kwa kosa ulilonitendea maana utajisikia hatia sana kunikosea
 
Sema wa hivyo ukimkera maamuzi yake siyo kitoto.... Ishi naye kwa akili mno.,

But kubali kuongelewa vibaya na watu/familia vibaya kuwa umeoa mke ana dharau na kiburi kwa ndugu zako.
 
Habari za majukumu wakuu?

Kiukweli mademu wakimya sana wana boa mno.. Una kuta demu mzurii kabisa na elimu yake lakini yupo kama bubu hawezi hata kuchangia maada yoyote katika vikao vya ukoo au familia. Yaani kila kitu mpaka mwanaume aseme, yeye ni kusikiliza tu yaani hachangii chochote mpaka kero..
Back to the main point..

Yaani huyu demu wangu nafikiri ndo rais wa mademu wakimya duniani, nisipo msemesha mimi jua siku hiyo nzima hata ongea.
Mashemeji zake na mawifi zake wote wanamuogopa yaani baada ya salamu tu hana time nao tena.
Mi huwa naongea nae kwa kumuuliza vi maswali vya hapa na pale ndo wakati anajibu hapo ndo tunapiga story hivo.. Sasa inafika wakati na mimi maswali ya kumuuliza yanaisha tunabaki tunatazamana tu.

Tuna miaka mitatu kwenye mahusiano ila yupo vile vile tu.. Nilipo jaribu kumuuliza kuhusu ukimya wake akasema ndivo alivo tuNi mtu anae penda sana kujifunza vitu vingi, akimaliza kazi zake anaenda kwenye tv kufatilia BBC na CNN news pia ni shabiki mzurii wa mpira wa miguu anaweza taja hata kikosi kizima cha buyern munchen..

Watu wanamuogopa mnoo hata wageni hawaji siku akiwepo home.. Yaani hata ushoboke vipi hana time na wewe.Ni mzurii sana wa sura na umbo na elimu nzuri anayo shida ipo hapo kwenye ukimya ulio pitiliza..Alafu yupo emotional sana, yaani nikimtia mkwara kidogo tu atashinda analia siku hiyo..
Kweli "too much of any thing is harmful"

Simaanishi napenda mademu wanaoongea kama chiriku.. Kila
kitu kiwe cha wastani

Location: dodoma
huyo ndo mzuri wewe,ndo wanawake nnaowataka hao,fanya number yake basii
 
Wangu mie aibu tu
10yrs in marriage ni aibu aibu aibuuu kwa kwenda mbele
Kwa wageni akisalimia tu anazama chumbani kumchomoa huko unahitaji greda na bludoza
hahaaa,aibu hadi.kwako??? hana mdogo wake mkuu tuunganishe undugu??
 
duuh kazi maana mimi pia niliwahi kuwa na demu wa hivyo machoni pa watu ni kauzu balaa ila ni kiwa naye mimi ananisimulia hadi chupi aliyovaa asubuhi...maybe try to tell her new jokes ...lakini mademu wakimya ni wa ukweli sana huwa hawana mazoea ya kucheka cheka na mabishoo hiyo pia inaongeza ka security fulani kwenye mahusiaono maana watakua wanamuogopa
mkuu naweza nikapata number yake??
 
Back
Top Bottom