Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Yani yna2 una aibu namna hio? Aisee kuna demu nilimuacha kwa sababu ya aibu za kijinga, it was too much for me. Imagine nishamkaza mara kadhaa ila kila tukifika eneo la tukio anaficha uso mara tuzime taa aargh. Halafu wanawake wenye aibu mpo too emotional, yani kwa ulalamishi hamna upinzani.
Nilichoka mapema mno na huo upumbavu kabisa nikaona hamna namna ni kutafta sababu ya kupiga chini tu. Mwanamke hata mkitembea kushikwa mkono anaona aibu waiii![]()


aibu yangu ipo kwa wageni tu na watu nisioawazoea..kwa wa ubani Sina aibu hata robo.Hapo kwenye ulalamishi Sina kwakweli na namshukuru Mungu kwa Hilo..Mimi sio muongeaji Sana ila napenda mno kucheka na hii la kucheka hata nikiwa na mwandani wangu hua anafurahia kwakweli.
Hapo kwenye kushikana mikono hua natamani anibebe kabisaaa aibu sinaga hata kidogo nikiwa na mwenzangu Yani sina


