Mademu wakimya mnakera mnoo

Mademu wakimya mnakera mnoo

Nadhani wengine wanakuwa na matatizo ya kisaikolojia tokea utotoni mwao, inawezekana kabisa wazazi/mzazi walichangia kwa kiasi huyo binti kuwa hivyo. Wengine ni kwasababu wazazi walikuwa wanamchunga sana na viboko na kukaripia mara kwa mara. Mtoto atakuwa kama unavyotaka sawa atakuwa successful kwenye masomo lakini anajenga uoga na kutojiamini kwa kiasi kikubwa sana na ndio maana ukimpiga mkwala unamuumiza sana maana huwa anakumbuka mateso matusi aliyokumbana nayo alipokuwa mtoto, wengine waliwahi kubakwa na wazazi wao na kuwatishia Maisha, kwa style hio hio ya Question and Answer unaweza kujifunza mengi toka kwake, ukianza na wewe kuelezea past zako ulipokuwa mtoto na shida ulizopitia naamini na yeye anaweza kufunguka.
Huwa najitahidi sana kupiga nae story japo msemaji huwa ni mimi tu..
 
Muulize "kwanini Punda anatoa mlio kila baada ya saa moja?" Nakuhakikishia mtapiga story siku nzima.

Watu wakimya wanapenda mental challenges sababu maisha yao yako kichwani zaidi kuliko mdomoni, kumtoa kichwani mwambie kitu ambacho kichwa chake hakiwezi kutatua.
Yaah anapenda sana utani japo huwa anafurahi napokuwa natania watu.. huwa anabaki kucheka tu
 
Sometimes ni vizuri binti kuwa hivyo mda mwingine sio poa

I had a girl kama huyo,kwa nza hana rafiki
Kukuaa kupiga story na mawifi zake wla mtu yeyote zaidi yangu.

Yani mtaani anaonekana anaharau sana,ila nilikuwa naipenda hiyo tabia sana.

Tatizo ni ujeuri tuuu (mtoto wa kimachame).
 
mchukulie ivo ivo tuu,watu tupo tofauti sana.
Hapo kwenye kupigwa mkwara machozi yanatoka tuu yenyewe tuko wengiii.especially if it's not our fault alafu mikwara mingi.
I love you ghafra! Coz napenda wanawake wanaolia nikiwapiga mkwara maake napenda sana utawala wa kibabe japo sijui kupiga.
 
Mchunguze sana huyo. Dem hata awe mkimya vp kwa jamaa yake ipo pointi tu anakua mwongeaji.. La sivyo ana kitu ndani eitha hakupend mkuu
Huwa anaongea kidogo kwenye mambo ya mpira na siasa za ulaya na marekani
 
Muache..
Mtu yeyote unatakiwa kuwa na wastani wa kila kitu
Pia kuishi kulingana na mazingira
Mimi shemeji zangu wote na mawifi wananikubali sana.
Ikihitaji kuongea naonge/kukaa kimya nakaa tena utadhani sijawahi kuongea hata mwaka mmoja
Pia unaangalia kuna wifi au shemeji mbea basi uyo ukikataka muelewane mkikaa teteni weeh/mwingine yeye mtu wa mipango yani hapo ni mipango tu/mwingine yeye baba/mama ushauri hapo mnashauriana mno/ukipata shemeji Mtu wa Ganja mkikaa elekezaneni jinsi ya kukimbia maaskari mkikaa kwa pusha/ukipata mwenye sifa/muongo mkubalie kila kitu msifu/ukipata wazee wa dharau basi dharau ifuate mkondo
Sasa wewe shemeji yako Esma unamwambia "muhubiri anasema"
Hutakaa upendwe nao kamwe wala kuelewana
Huyu wangu ni kauzu mno hana time na mtu.. hata ujipendekeze vipi lazma uta dunda tu
 
Back
Top Bottom