Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,941
vipi hana mdogo wake??Huyo ndo mke bora usimwache... Kama wangu, mpole na sio muongeaji sana, afu sio mtu anayejua mambo mengi ya kidunia.....
vipi hana mdogo wake??Huyo ndo mke bora usimwache... Kama wangu, mpole na sio muongeaji sana, afu sio mtu anayejua mambo mengi ya kidunia.....
ayaaaa!!! mkuu nipe number yakeMkuu una moyo.. Mimi nilikua na wa namna hiyo ila miezi 6 nikanawa mikono...
Mtu hacheki, akicheka anaonesha tuu meno ya mbele au utasikia 'mmh' hapo kamaliza.. Wageni wakija kama sipo hua hawakai, kwa wageni ana sentensi zake tatu 'karibuni sana' 'niwahudumie nini' na 'karibu tena' hapo kamaliza,ataendelea na shughuli zake..
Unaweza toka nae Dar hadi Kigoma akakuongelesha sentensi tatu tuu.. Nikawa naenda nae kwenye vibanda umiza kuangalia nae mpira ili kumchangamsha wapi, kwenye vijiwe vya drafti wapi, nunua kila aina ya muvi za vichekesho ila hola!
Nikamkazia siku tatu sianzishi mazungumzo namtegea yeye aanzishe nikaishia kunuka mdomo tuu.. Kuuliza ndugu zake kuhusu huo ukimya wake, wananiambia tangu amekua na mimi kabadilika sana anachangamka tofauti na huko nyuma, eboooh!!
Mwisho wa siku nikaona hii ni special case, nikanyoosha mikono juu...
😂😂😂😂Hiyo ni Bahati mkuu shukuru Mungu Aiseee maana cc tulio Oa Clouds Fm ni Shida.
Ila hyo picha shoga angu ya Avatarhuyo ni Mimi kabisa..unaweza kuambiwa unaringa
Mimi huyu wangu aibu hana ila hana shobo na mtu kabisa
Ndugu zako ni Wazaramu ? Oa mzaramu mwenzao maana Naskia walimsema Maiti hadi kalia huyo mtoto wa watu utampa tu shida bureeeNdugu zangu wanamuona ni mtu mwenye kiburi sana
kwni ameolewa na ndugu zako au wewe ndo umemuona ukimpenda, ukamthamini, ukamjali na kumchukulia alivyo inatosha sio lazima kila mtu amfurahie kwani ata angekuwa anawachangamkia ni bado wangemsemaaa. Inaonekana na ww pia unamchoka kwa hilo kwani hukuliona kuanzia mwanzo?Ndugu zangu wanamuona ni mtu mwenye kiburi sana