Dr.Mo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 3,809
- 1,653
Tatizo lingine pia ni kama hili kwenye thread...mademu wa mjini hapa ujuaji mwingi (mm bahati nzuri nakutana nao kila siku kwenye kazi yangu)..hawataki kusubiri..sio wasikilizaji wazuri...wanajidai wajuaji na mambo ya kuiga kuiga...angalia hata hii thread wanavyoijibu...mana kama mtu imemgusa mtu anatakiwa akae atafakari kwa nini jamaa kaandika ivi ?...mtu mwenye busara anajiuliza je ni kweli...? lakini angalia wanavyojibu....mwingine anajibu tu kwa sasbabu kaona mwenzake amejibu hivyo(Kuiga)....ndo mademu wa mjini hao anaosema jamaa...busara hakuna...!!!