Mademu wa mjini... Aka, sioi mie!

Angalia ucje kwenda kuoa kijijin Sitimbi ukakumbana na Zubeda yule bint wa Prof. Jay!
 
Bora nionekane mshamba. Demu wa town sioi mie! Hivi mnajua jamani wanawake wengi wa mjini mmepoteza mvuto wa kuolewa! Sababu nini mnajua? Mmepoteza sifa moja muhimu sana inayomvutia sana mwanaume ukiwa nayo, nayo ni AIBU. Hamna aibu tena. Demu wa kijijini ukimpiga songi anaandika chini kwadole gumba, mara aokote nyasi, aume kucha..., si nyie wa mjini macho makavu utadhani unaongea na njemba nyenzako. Halafu unajuta demu ana umbo bomba, amekula pamba za ukweli..., subiri kauli yake sasa, utazimia. Matusi ya nguoni ni lugha yake ya kawaida. Anatukana kwa kutaja viungo kwa majina yake tena hadharani! Aisee, mi mjini sioi, bora niitwe mshamba. Mjirekebishe bwn, mnaboa!

Ushatukanwa huko nini?utakuwa uliingia kichwakichwa.poleee....
 
Sasa dole gumba litaweza kuchora kweli lami au sakafu mjini? Au paving-stone? Majani nayo mjini yameanza kuwa adimu.......
 
Tatizo lingine pia ni kama hili kwenye thread...mademu wa mjini hapa ujuaji mwingi (mm bahati nzuri nakutana nao kila siku kwenye kazi yangu)..hawataki kusubiri..sio wasikilizaji wazuri...wanajidai wajuaji na mambo ya kuiga kuiga...angalia hata hii thread wanavyoijibu...mana kama mtu imemgusa mtu anatakiwa akae atafakari kwa nini jamaa kaandika ivi ?...mtu mwenye busara anajiuliza je ni kweli...? lakini angalia wanavyojibu....mwingine anajibu tu kwa sasbabu kaona mwenzake amejibu hivyo(Kuiga)....ndo mademu wa mjini hao anaosema jamaa...busara hakuna...!!!

ah busara, busara, what is busara?

nyie wenyewe hekima hamna, Mungu kawapa Madaraka, nyie yamewashinda sasa tukae kusikiliza ujinga wenu wa nini?

We ongea points za msingi, uone kama demu hajakusikiliza.

tatizo lenu mnaongea kihuni mno ndo maana hata na sie tunawapa majibu ya kihuni.

ukija kwa style ya kiutu uzima na ustaarabu, lazima mwanamke nae atakujibu kistaarabu tu labda awe na matatizo yake au stress zake.

nyooooooooo mwone kwanza sura yake
 
Rudi ukajitwalie huko ndugu....nakupa sapoti ila ukirudi naye tayarisha nauli ya kwenda kwenu kutafuta mwingine!
 
Sasa kama mtu unakuja na mashairi ambayo hayaeleweki katika kutongoza unadhani utaambulia kitu?

Jipange kijana, kumtongoza mwanamke sio kama kuendesha baiskeli kunahitaji mashairi yaliyoenda shule. Mambo ya sili silali bila kukuona yameshapitwa na wakati. Kwa style hiyo hata huku unapokimbilia kuolea utaambulia patupu.

BTW kama una muda wakutosha njoo kwenye course yangu ya kutongozea upate mashairi yaliyoenda shule sio lupiga blaaa blaaa nyingi huku ukitegemea mtu akung'atie kucha au aandike chini.

hii kali san mtu mzima eti anataka apewe sound nyng ukubali kubali uhalisia wa mtu mwenyw sound co kigezo sn ndo mana mnaolewa na wanaume mlokutana nao cku moja sound zkakolea mara nioe kesho humpend ridhia mwenyw c kwa mistari mingi sn nyakati hz za uwaz ctegemei neno moja la kwanz ucjue haja ya moyo wa mtu kwako
 
Bora nionekane mshamba. Demu wa town sioi mie! Hivi mnajua jamani wanawake wengi wa mjini mmepoteza mvuto wa kuolewa! Sababu nini mnajua? Mmepoteza sifa moja muhimu sana inayomvutia sana mwanaume ukiwa nayo, nayo ni AIBU. Hamna aibu tena. Demu wa kijijini ukimpiga songi anaandika chini kwadole gumba, mara aokote nyasi, aume kucha..., si nyie wa mjini macho makavu utadhani unaongea na njemba nyenzako. Halafu unajuta demu ana umbo bomba, amekula pamba za ukweli..., subiri kauli yake sasa, utazimia. Matusi ya nguoni ni lugha yake ya kawaida. Anatukana kwa kutaja viungo kwa majina yake tena hadharani! Aisee, mi mjini sioi, bora niitwe mshamba. Mjirekebishe bwn, mnaboa!

Hivi bwamdogo bado unawaza kuoa zama hizi?
Sasa hivi tunaingia kwenye ndoa za mkataba kuanzia mwaka mmoja na kuendelea.
Mkataba ukiisha una re-new kama mmenogeana..............!:A S-fire1:
 
Bora nionekane mshamba. Demu wa town sioi mie! Hivi mnajua jamani wanawake wengi wa mjini mmepoteza mvuto wa kuolewa! Sababu nini mnajua? Mmepoteza sifa moja muhimu sana inayomvutia sana mwanaume ukiwa nayo, nayo ni AIBU. Hamna aibu tena. Demu wa kijijini ukimpiga songi anaandika chini kwadole gumba, mara aokote nyasi, aume kucha..., si nyie wa mjini macho makavu utadhani unaongea na njemba nyenzako. Halafu unajuta demu ana umbo bomba, amekula pamba za ukweli..., subiri kauli yake sasa, utazimia. Matusi ya nguoni ni lugha yake ya kawaida. Anatukana kwa kutaja viungo kwa majina yake tena hadharani! Aisee, mi mjini sioi, bora niitwe mshamba. Mjirekebishe bwn, mnaboa!
Kwanza unabahati ukizubaa Town mademu wanakutongoza fasta, Angalia usisimame simame ovyo bila kazi maalumu maeneo ya Bar na Guest houses, au kule Oiho street. Hawachelewe kukubaka.Nafuu urudi zako village Town tunapaweza sisi,hatutongozi sikuhizi tunachagua tuu.
 
ah busara, busara, what is busara?

nyie wenyewe hekima hamna, Mungu kawapa Madaraka, nyie yamewashinda sasa tukae kusikiliza ujinga wenu wa nini?

We ongea points za msingi, uone kama demu hajakusikiliza.

tatizo lenu mnaongea kihuni mno ndo maana hata na sie tunawapa majibu ya kihuni.

ukija kwa style ya kiutu uzima na ustaarabu, lazima mwanamke nae atakujibu kistaarabu tu labda awe na matatizo yake au stress zake.

nyooooooooo mwone kwanza sura yake

Umesoma lakini nadhani hujanielewa ....na hiyo sura yangu umeiona wapi...!!!??? lakini hayo ndo nanayoongea mwanamke lazima uwe na heshima na ustarabu....lakini kwa malezi yetu ya siku hizi ni wachache wanakuwa na staha na heshima...kama hapo umejibu na kutukana sura yangu...!!! kwani ukujibu kistarabu unapungukiwa nini ???? utaonekana mshamba au..???...? utapata shida sana kuishi na mwanaume anae jitambua kama kweli ndo una tabia kama hiyo....badilika
 
Kwanza unabahati ukizubaa Town mademu wanakutongoza fasta, Angalia usisimame simame ovyo bila kazi maalumu maeneo ya Bar na Guest houses, au kule Oiho street. Hawachelewe kukubaka.Nafuu urudi zako village Town tunapaweza sisi,hatutongozi sikuhizi tunachagua tuu.
Hahahahahahahahahaaa mkuu umeniacha hoi kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom