Madeleka kufungua kesi ili ukweli ujulikane kama waliouawa Vingunguti ni panya road

Kituo cha polisi cha wapi mkuu? Unaishi kwa kukariri kuwa kila mtu yupo kwa Bi Mkubwa?

Mimi sina maumivu, naeleza point za msimamo wangu wa kifalsafa.

Watanzania wengi kama wewe mna tatizo la kufanya abstract thinking.

Hamna uwezo mkubwa wa kuelewa hoja ya kifalsafa, hamuelewi abstract thinking.

Mimi nilishapiga kura kwa miguu enzi za utawala wa Mkapa na kutabiri haya yote yatakuja kama mistari ya Nostradamus.

Nakula lasagna kwa umma.

Maumivu yataanzia wapi?
Watanzania wengi kama wewe mna tatizo la kufanya abstract thinking

Ulitabiri haya yanayoendelea. Ulifanya nini ili uliyoyatabirivyasije yakatokea?
Je,yalipotokea(maana si leo wala jana),ukafanyaje?
-wao wanaua
-msomi umekimbia na kulalamika,
-wajinga tumekaa na kuangalia gemu.
Pole. Mdogo wako alikua muovu ndo maana.
Badala ya ufurahie kupigwa risasi,unalalamika tu. Je,wananchi wangemchoma moto si ndo ungejinyonga sasa!!
 
Watanzania wengi kama wewe mna tatizo la kufanya abstract thinking

Ulitabiri haya yanayoendelea. Ulifanya nini ili uliyoyatabirivyasije yakatokea?
Je,yalipotokea(maana si leo wala jana),ukafanyaje?
-wao wanaua
-msomi umekimbia na kulalamika,
-wajinga tumekaa na kuangalia gemu.
Pole. Mdogo wako alikua muovu ndo maana.
Badala ya ufurahie kupigwa risasi,unalalamika tu. Je,wananchi wangemchoma moto si ndo ungejinyonga sasa!!
Again, huwezi kujadili mada in abstract thinking. Badala ya kujadili hoja, inanijadili mimi.

Mimi sina messiah complex.

Huko Trump alipopaita shithole country mnaona hata kuchomana moto ni sawa tu, chomaneni tu.

Na wewe wakikuchoma usikatae kuchomwa, kubali tu.Maana ndiyo mfumo mliojiwekea.

Siwakatazi.

A miilion flies eat shit. They can't be wrong.

Mimi nishamaliza kazi yangu ya kuwaeleza.
 
Huko Trump alipopaita shithole country mnaona hata kuchomana moto ni sawa tu, chomaneni tu.

Siwakatazi.

Mimi nishamaliza kazi yangu ya kuwaeleza.
Mwanaume wa kweli hakimbii tatizo,anasimama na kukabiliana nalo. Huku shithole,ndo kwenu. Haki na sheria havipambaniwi mtandaoni, rudi eneo la tukio.

Na kama haupo eneo la tukio,wewe una uhakika gani kama kilichoandikwa si uongo?
 
Mwanaume wa kweli hakimbii tatizo,anasimama na kukabiliana nalo. Huku shithole,ndo kwenu. Haki na sheria havipambaniwi mtandaoni, rudi eneo la tukio.

Na kama haupo eneo la tukio,wewe una uhakika gani kama kilichoandikwa si uongo?
Wewe unayetaka shortcut ya kuua watu bila kuwafikisha mahakamani unatatua tatizo au unakimbia tatizo?

Eneo la tukio ni wapi?

Wewe upo eneo la tukio?

Hiyo hoja yako kwamba "kama haupo karibu na eneo la tukio una uhakika gani kilichoandikwa si uongo" ni logical fallacy.

Inaitwa fallacy of proximity.

Ni ujinga fulani wa kufikiria kwamba, wewe ukiwa karibu zaidi na tatizo, basi ndiyo utalielewa zaidi.

This is a fallacy.

Again, you don't know abstract thinking.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom