Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 448
- 799
Habari wana JF.
Niende moja kwa moja kwenye kelo yangu juu ya Dawasco.
Kumekuwa na changamoto ya kukatiwa maji mara kwa mara na baada ya kukata huyu kijana hatoi maelezo kwa mhusika. Akishakata huwa anadai 15000 kurejesha maji. Navyoelewa mteja anatakiwa kupewa taarifa ya mdomo kisha barua ya maandishi kabla ya kukatiwa maji ikiwa anadaiwa au hadaiwi sio kukata tu ili mladi na kudai elf 15. Huu umeshakuwa mladi wake.
Je, ni sahihi kwa hawa wafanyakazi wa DAWASA kukata kata maji hovyo tu pasi na taarifa yoyote kwa wenyeji (mwenye nyumba) anayemkuta hapo na kudai elf 15 ili kurudishiwa na hiyo 15000 inapokelewa mkononi sio control number (GePG)??
DAWASA
Niende moja kwa moja kwenye kelo yangu juu ya Dawasco.
Kumekuwa na changamoto ya kukatiwa maji mara kwa mara na baada ya kukata huyu kijana hatoi maelezo kwa mhusika. Akishakata huwa anadai 15000 kurejesha maji. Navyoelewa mteja anatakiwa kupewa taarifa ya mdomo kisha barua ya maandishi kabla ya kukatiwa maji ikiwa anadaiwa au hadaiwi sio kukata tu ili mladi na kudai elf 15. Huu umeshakuwa mladi wake.
Je, ni sahihi kwa hawa wafanyakazi wa DAWASA kukata kata maji hovyo tu pasi na taarifa yoyote kwa wenyeji (mwenye nyumba) anayemkuta hapo na kudai elf 15 ili kurudishiwa na hiyo 15000 inapokelewa mkononi sio control number (GePG)??
DAWASA