totoadela
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 348
- 1,072
Ninaandika kwa machungu na masikitiko sana! Ina maana viongozi wanaohusika na suala la maji wameshindwa kuliona hili? Inakuwaje wateja wanabambikiwa bili za maji kiasi hiki?
Ni kwamba hakuna anayeweza kukemea hili?
Bili inakuja kubwa kuliko matumizi yaani umezoea kuona bili ya Elf 4500/5000 sasa hivi unaletewa bili ya elfu 50 au namwagilia mbogamboga za kulisha wana DSM.
IDARA YA MAJI ACHENI UWIZI WA WAZI WAZI HASA HAWA DAWASCO MMEZIDI SASA
Ni kwamba hakuna anayeweza kukemea hili?
Bili inakuja kubwa kuliko matumizi yaani umezoea kuona bili ya Elf 4500/5000 sasa hivi unaletewa bili ya elfu 50 au namwagilia mbogamboga za kulisha wana DSM.
IDARA YA MAJI ACHENI UWIZI WA WAZI WAZI HASA HAWA DAWASCO MMEZIDI SASA