kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,090
- 454
Hapa Punda anaweza akawa Pinda (serikali inalazimishwa kulipa ... ) au ni madaktari (madaktari wanalazimishwa kufanya kazi ....) au ?
tatizo la kila kitu kufanywa siasa na kufanya mahakama chombo cha serikali bila kujali kuwa nao ni mhimili unajitgemea.Pinda ni dhaifu kama raisi aliymteua.Hili halikuwa suala la akina komba kupiga mapambio ni suala so professional and technical, kosa la kwanza limerudiwa tena, je weledi wake kiutawala uko wapi hapa?na shaka na uwezo wake kitaaluma.tubadilike haiwezekani kila mahala ni matatizo, kero hazipati suluhu kwa wakati muafaka huku watendaji wapo , hii inatia shaka.