Serikali kupitia mahakama kuu, imeamuru MAT(chama cha madaktari tanzania) kutangaza kuwa hakuna mgomo.
Kumbe Madaktari walishaliona hili tangu mgomo wa mwanzo, pale walipoiengua MAT isijihusishe na mgomo kwani kisheria walijua haina mamlaka ya kuitisha mgomo, kwani si trade union, badala yake wakaunda jumuia ya madaktari(ambayo MAT ni sehemu yake) na kuweka uongozi chini ya kamanda Ulimboka.
Jumuia hiyo haijasajiliwa popote, na inajumuisha madaktari wote nchini kwa ujumla wao.
Sawa, MAT inaweza kusema hakuna mgomo kwa amri ya mahakama, lkn haitakuwa na maana, kwani si wao walioitisha mgomo.
Jumuia ya madaktari sidhani km inaburuzika mahakamani, na ndo imeamua kugoma!
Hivyo amri ya mahakama dhidi ya MAT ni serikali kujipiga changa la macho tu, haitasaidia lolote kumaliza mgomo.
Muhimu watambue tu kuwa wanadili na watu wenye akili sana, cream of the nation, great thnkers, waliopitia misukosuko mingi sana tangu sekondari, wakisoma PCB kwenye shule zisizo na walimu wa kueleweka, na bado wakafaulu sana na kwenda medical school.
Huko nako wamepambana na ku absorb stress kibao, hd kuwa na taaluma hii adhimu.
Serikali haina chaguo jingine, zaidi ya ku give in to doctors' demands!
Ujanja ujanja mwingne hausaidii.
Kumbe Madaktari walishaliona hili tangu mgomo wa mwanzo, pale walipoiengua MAT isijihusishe na mgomo kwani kisheria walijua haina mamlaka ya kuitisha mgomo, kwani si trade union, badala yake wakaunda jumuia ya madaktari(ambayo MAT ni sehemu yake) na kuweka uongozi chini ya kamanda Ulimboka.
Jumuia hiyo haijasajiliwa popote, na inajumuisha madaktari wote nchini kwa ujumla wao.
Sawa, MAT inaweza kusema hakuna mgomo kwa amri ya mahakama, lkn haitakuwa na maana, kwani si wao walioitisha mgomo.
Jumuia ya madaktari sidhani km inaburuzika mahakamani, na ndo imeamua kugoma!
Hivyo amri ya mahakama dhidi ya MAT ni serikali kujipiga changa la macho tu, haitasaidia lolote kumaliza mgomo.
Muhimu watambue tu kuwa wanadili na watu wenye akili sana, cream of the nation, great thnkers, waliopitia misukosuko mingi sana tangu sekondari, wakisoma PCB kwenye shule zisizo na walimu wa kueleweka, na bado wakafaulu sana na kwenda medical school.
Huko nako wamepambana na ku absorb stress kibao, hd kuwa na taaluma hii adhimu.
Serikali haina chaguo jingine, zaidi ya ku give in to doctors' demands!
Ujanja ujanja mwingne hausaidii.