figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,643
- 62,567
Wakati serikali ikikimbilia kuzuia mgomo mahakama kuu ya kazi, madaktari wanashangaa.
Serikali imeweka zuio la mgomo wa madaktari wa chama cha madaktari MART wakati madaktari wanafanya mgomo kupitia jumuia ya madaktari chini ya Uongozi wa Stephen Olimboka.
Naibu mwanasheria mkuu bwana Masaju katika chl10 kasema wao wanachotambua ni chama cha madaktari kilicho sajiliwa hivyo vyama vingine havitambuliki.
kaongeza pia ambaye atakiuka sheria ya mahakama atashitakiwa na awale watakao sababisha vifo. Mia
Serikali imeweka zuio la mgomo wa madaktari wa chama cha madaktari MART wakati madaktari wanafanya mgomo kupitia jumuia ya madaktari chini ya Uongozi wa Stephen Olimboka.
Naibu mwanasheria mkuu bwana Masaju katika chl10 kasema wao wanachotambua ni chama cha madaktari kilicho sajiliwa hivyo vyama vingine havitambuliki.
kaongeza pia ambaye atakiuka sheria ya mahakama atashitakiwa na awale watakao sababisha vifo. Mia