Habar zenu madoktor humu ndani.
Mnisamehe Kama kichwa cha habari kitakuwa na ukakasi wowote.
Nilioa miaka 5 iliyopita,baada ya mwezi mmoja nikagundua mke wangu alikuwa ni muathirika wa hiv na aliambukizwa na mama yake kipindi cha unyonyeshaji.
Mwaka wa tano sasa kila kipindi ninachopima huonekana niko fresh na Sina maambukizi
Situmii kinga Wala chochote,na nafsi iko tayari hata nikipata sio issue kabisa kwangu,yaani nmekubaliana na lolote lile litakalotokea
(Tufupishe story)
Sasa huwa najiuliza sana mbona sipati hiv miaka yote hiyo ?
Kuna Nini hapa,ama inakuwaje kuwaje hili linatokea,?.
Madaktari mniambie lolote la kitaalam nifahamu.
Nb
Kama si daktari ni vyema usichangie
Kwa hiyo ulitaka nishangilie hilo libaba kuoa mtoto wa miaka 13? Na wewe ndo wale wale eeh, jua huo ni ubakaji na unyanyasajiMbona uko harsh sana katika comments zako? Why all that?
Unaujua umri wa mtoa mada?. Alafu pia lengo lake ni kupata ufafanuzi from doctors or medical experts. Na uzuri walengwa wamechangia vizuri tu. Ila sijajua why umekuwa so harsh. Yawezekana ukawa na point nzuri kwa unachojaribu kukipinga, ila uwasilishaji wako naona umeharibu mantiki nzima.Kwa hiyo ulitaka nishangilie hilo libaba kuoa mtoto wa miaka 13? Na wewe ndo wale wale eeh, jua huo ni ubakaji na unyanyasaji
Unataka kusema umri wa mtoa mada ni miaka 13 kwa hiyo ni watoto ndio wameoana? Ameandika mwenyewe alimuoa huyo mtoto akiwa 'mdogo sana' akaongezea miaka 13, kujitetea kwake eti alilazimishwa, na nani? yaani unataka nitumie maneno laini kwa Mbakaji!!? Una watoto? Una lea? Huyu angetoa address yake mbona ungekua unampelekea chakula lupango ewe muungwana sana.Unaujua umri wa mtoa mada?. Alafu pia lengo lake ni kupata ufafanuzi from doctors or medical experts. Na uzuri walengwa wamechangia vizuri tu. Ila sijajua why umekuwa so harsh. Yawezekana ukawa na point nzuri kwa unachojaribu kukipinga, ila uwasilishaji wako naona umeharibu mantiki nzima.
Sometimes inategemea na group la damu ulio nalo.Habar zenu madoktor humu ndani.
Mnisamehe Kama kichwa cha habari kitakuwa na ukakasi wowote.
Nilioa miaka 5 iliyopita,baada ya mwezi mmoja nikagundua mke wangu alikuwa ni muathirika wa hiv na aliambukizwa na mama yake kipindi cha unyonyeshaji.
Mwaka wa tano sasa kila kipindi ninachopima huonekana niko fresh na Sina maambukizi
Situmii kinga Wala chochote,na nafsi iko tayari hata nikipata sio issue kabisa kwangu,yaani nmekubaliana na lolote lile litakalotokea
(Tufupishe story)
Sasa huwa najiuliza sana mbona sipati hiv miaka yote hiyo ?
Kuna Nini hapa,ama inakuwaje kuwaje hili linatokea,?.
Madaktari mniambie lolote la kitaalam nifahamu.
Nb
Kama si daktari ni vyema usichangie
Unataka kusema umri wa mtoa mada ni miaka 13 kwa hiyo ni watoto ndio wameoana? Ameandika mwenyewe alimuoa huyo mtoto akiwa 'mdogo sana' akaongezea miaka 13, kujitetea kwake eti alilazimishwa, na nani? yaani unataka nitumie maneno laini kwa Mbakaji!!? Una watoto? Una lea? Huyu angetoa address yake mbona ungekua unampelekea chakula lupango ewe muungwana sana.
unajaribu kuonesha unauchungu sana, ila ukijaribu kupitia your daily activities, utakuta hata wewe una weakness na makosa kibao tu.
Alaf in a real life experience, unaweza kukuta mimi ninaumizwa sana violence acts kuliko hata wewe. Hata hicho kinyaa unachosema unahisi ukute pia huna.Nimeelewa sasa, pale wabakaji wanapojaribu kuteteana, hebu achana na mimi nahisi kinyaa.
Alaf in a real life experience, unaweza kukuta mimi ninaumizwa sana violence acts kuliko hata wewe. Hata hicho kinyaa unachosema unahisi ukute pia huna.
Anyway, narudi tulipoanzia, stop being harsh. Unaweza ku express what you feel na ukaeleweka bila hata kutumia nguvu
Umefanya nimepitia baadhi ya reply zako kwenye threads za wadau wengine (threads zako hazina tatizo), but it seems you are harsh most of the time. I think that doesnt suit you. Mawazo yako mengi somehow yako vizuri, ila presentation yako ndio inakuangusha.
Ushanipenda weye sio bure,Umefanya nimepitia baadhi ya reply zako kwenye threads za wadau wengine (threads zako hazina tatizo), but it seems you are harsh most of the time. I think that doesnt suit you. Mawazo yako mengi somehow yako vizuri, ila presentation yako ndio inakuangusha.
Work on that my lady.
We may be looking on the same direction, yet see different things.Ushanipenda weye sio bure,
Tatizo sipendi wabakaji, hilo tuuuu.
Asante kwa kunipa majibu mazuri mchangiaji, mimi nilitembea na demu kumbe yule demu ana ukimwi nimefanya nae mwaka mzima ila kuna watu wakaja kunambia kua huyo ni muathirika nikampima kisiri home nakaa na doctor tukagundua kumbe alizaliwa nao na alikua anatumia ARV niliamini na mimi moja kwa moja nina ukimwi kupima Nipo negative sina maambukizi ndipo nilipokuja kuamini ukicheza rafu ukimwi unapata ila ukiplay safe hupati ukimwi hata ukitembea na mwenye virusi hata hivyo mimi sio malaya sana mpaka umri huu nimetembea na mademu wawili na hua singonoki saaanaaaHabari yako mkuu. Mimi nipende kutoa mchango wangu kidogo juu ya sababu za kutopata UKIMWI ilihali unafanya tendo la ndoa na muhathirika,
1. Kwanza kabisa kisayansi kuna group la watu wachache Sana inakadiriwa Kuwa 1% kwenye mkusanyiko wa watu wa eneo moja , ambao wamezaliwa hawana au co-receptors zao (CCR5 na CXCR4) hazifanyi kazi. Ukiachana na CD4+ receptors ambazo zinapatikana kwenye chembe hai( cell surface) ambazo kazi yake kubwa ni kushikiza kirusi (attachment) pale kinaposhambulia chembe hai, coreceptors zenyewe husaidia kirusi kuingia na kuanza Ku-replicate ndani ya chembe hai na baadae kusababisha madhara ndani ya chembe hai. Hivo kama MTU akizaliwa bila kuwa na hizi co receptors virusi havitaweza kuingia na kushambulia cell hivo ni ngumu kupata ugonjwa wa UKIMWI. Nasisitiza ni asilimia chache wako hivi, hivo kama umo miongoni hongera.
2. Pili, kisayansi wanaume wana chance ndogo ukilinganisha na wanawake ya kupata ukimwi kwa sababu wakati wa kufanya mapenzi inahitaji tu msuguano mdogo ili virusi vipite. Kwa wanaume ngozi ambayo iko nje ya uume wao ni ngumu ukilinganisha na wanawake ambao wana sehemu laini ya ukeni (vaginal lining) ambayo huweza kupata michubuko kwa urahisi ukilinganisha na wanaume.
3. Tatu, kumekuwa na nadharia kuwa wanaume wenye maumbile madogo pamoja na wale wanaotumia muda mchache kufanya mapenzi, wana nafasi ndogo ya kuchukua maambukizi kwani wanakuwa hawana muda mrefu wa kuweza kuzalisha msuguano. (Haijathibitishwa kisayansi).
Hizo ni sababu chache Kati ya nyingi, lakini kama wengine walivoshauri ni vema kuchukua vipimo sehemu tofauti ili kulinganisha kwa pamoja kujihakikishia.
Nawasilisha.
Kizungu sijuiiiWe may be looking on the same direction, yet see different things.
Ila wanawake wapo katika risk kubwa mno ya kupata ukimwiElimu hasa inapaswa kutolewa, kuna tofauti kati ya UKIMWI na VVU, nadhani tulijifunza haya darasa la tano kama sikosei.
Yan kuna watu hua wanaleta mada nzuri sanaaa humu mimi nilitaka kujiua baada ya kugundua demu niliyekua napiga kaungua kumbe alizaliwa nao na alikua anatumia dawa vizuri saivi ana miaka 25 na sikua na rafu hata kidogo bila kutengeneza uterezi simfanyi na kila nikipiga bao naenda kunawa na kukojoaMaambukuzi ya ukimwi yako complicated sana si rahisi kuupata na wala si ngumu nahisi ni timing sijui mm nakumbuka nishatembea peku mara tatu na binti ambaye baadae nilijua kaungua tena rafu nyng sana ila sijawahi kuambukizwa na yy
Kwanini?Ila wanawake wapo katika risk kubwa mno ya kupata ukimwi