Madaktari, kwanini Mimi sijapata UKIMWI mpaka sasa?

Umemuoa akiwa na miaka 13 , aisee kesi ya miaka 30 jela inabidi ikuhusu
TAnzania hapa miaka hiyo weeeeeeengi mbona wanaolewa?
Sema ingebana siku ya kliniki kuwachukulia hatua
Maana sera ya idadi ya watu tanzania haifuatwi
 
Sky Eclat
Naomba ukipata muda unielezee kidogo,samahan kwa usumbufu nahisi Kama naweza kukuelewa ama unaweza kunifahamisha lolote.
Sishangai kwa nn ulioa binti ana miaka 13 iko hivi

1.Ulichofanya ni unyanyasaji wa kingono binti mdogo ukaoa kwanza ww ni libakaji

2.Pili kiasi chake cha virus mwilini kikosi kiasi gani

3.ili upate maambukizi ni lazima vidabuzi (receptors) za kwenye seli zako nyeupe ziwee tayari kudabua virusi ni binadamu wachache sana ambao vidabuzi vyao haviwezi pokea maambukizi ikiwamo labda na vyake.


Naongezea unafaa kupatwa na hukumu ya jela kabla hujapatwa na VVU libakaji likubwa wewe shwaini
 
Baada ya kugundua ndio nikamuanzishia dawa na mambo mengine muhimu.mechi kwa kweli ni rafu saana kupita kiasi
Wewe ni mwongo, unaleta soga tu hapa. Unasema ulimwanzishia dawa wewe baada ya kumuoa. Na pale mwanzo ulisema aliambukizwa na mama yake utotoni wakati ananyonyeshwa!

Haiingii akilini aambukizwe utotoni, akue fresh tu bila kutumia dawa yoyote mpaka umri wa utu uzima wa wewe kumuoa bila kuonesha dalili yoyote na yeye asijijue miaka yote hiyo!!!??
 
Habar zenu madoktor humu ndani.

Mnisamehe Kama kichwa cha habari kitakuwa na ukakasi wowote.

Nilioa miaka 5 iliyopita, baada ya mwezi mmoja nikagundua mke wangu alikuwa ni muathirika wa HIVna aliambukizwa na mama yake kipindi cha unyonyeshaji.

Mwaka wa tano sasa kila kipindi ninachopima huonekana niko fresh na Sina maambukizi

Situmii kinga Wala chochote na nafsi iko tayari hata nikipata sio issue kabisa kwangu, yaani nmekubaliana na lolote lile litakalotokea

(Tufupishe story)

Sasa huwa najiuliza sana mbona sipati hiv miaka yote hiyo?

Kuna nini hapa, ama inakuwaje kuwaje hili linatokea?.

Madaktari mniambie lolote la kitaalam nifahamu.

Nb
Kama si daktari ni vyema usichangie
Unasema ulioa na wakati ULIBAKA!!?? Kwanza unastahili kuwa nyuma ya nondo kwa tendo hili la kinyama. Binti yako atakapofikisha miaka 13 utakuwa radhi akaolewe kwa linjemba kama wewe?? Watu mkoje na tamaa zenu???!!
 
WAKUU HUU UZI NIMEOMBA KWA MADAKTARI TU,NYINYI MNAOONA NI UDAKU AMA NIMEAMUA KUPOTEZA TU MUDA SI MPITE TU MCHANGIE MADA NYINGINE MBONA TUNAKWAZANA KIASI HIKI.???

Mtu analeta serious issue halafu majamaa mengine yanakomenti tu ujinga,acheni niliowaomba waseme huenda faida ikapatikana hata kwa mwingine kuliko mtu amekula ugali wa baba ameshiba anakuja kusumbua.kama kitu hukijui kukaa kimya ni busara pia.
Kwanza nini maana ya MKUSHI?

Usituchoshe. MKUSHI mkubwa wewe.
 
Niliamua kusoma maoni ya wadau katika mada yako sababu mimi si mjuzi wa haya mambo, ili nipate faida, ila nilichokiona humu ndiyo nakiona kila siku, watu wana utoto mwingi sana. Kila muda wanaona ni muda wa mzaha.

Huwa najisemea, humu ndani watu huwa wana mada nzuri sana, ila nahisi wanazileta sehemu ambayo si sahihi.

Watu wanakera sana.

Naendelea kusoma maoni ya wadau.
Sasa ndugu,mtu kasema anishi na mkwe muathirika. Anasema anapima mara kwa mara kuangalia naye kama kaupata.
Tafsiri yake ni,huyu bwana anapambana kuupata UKIMWI. Haiwezekani unajuwa mwenzio ni muathirika,then bado unajisifu kuwa unakula mzigo tena rafu sana.

Unategemea hapa tumbembeleze?
Apambane mpaka aupate.
 
Kama anatumia dawa vizuri na mechi zako sio rafu sana basi ni inawezekana usiupate
Hili ndio jibu sahihi.
Mwaka jana kwenye maonyesho ya Nanenane tulikuwa tunawapima watu VVU kwa hiyari. Kuna familia mbili nilikumbana nazo Wake zao tayari wana maambukizi na wanatumia Dawa ila wanaume hawakuwa na maambukizi.
 
Sometimes inategemea na group la damu ulio nalo.

Maranyingi group O, sio rahisi kua receptive na HIV unless uwe umefanya rough match na mwenzio mwenye group O alie athirika ndio unaweza ukapata HIV...

Hii ndio one of advantage of group O, lakini ubaya wa hili group ukiwa na upungufu wa damu kupata donor inakua ngumu kidogo, kwasababu sio rahisi upatikanaji wake, mpaka upate group O mwenzie tu, watu wachache wanao hili group

Group O hawezi kuwa donated na group lolote la damu zaidi ya group O tu, na group O ndio damu ambayo donor kwa ma group mengine mfano group A, group B , group AB na mwenzie group O.

Ila group AB anaweza kua donated na magroup A, B, AB na O, hili group linakuwa rahisi pia kupata maambukizi ya HIV kutoka magroup mengine yote.

Group A, anaweza kua donated na magrop A na O tu. Hivyo anaweza pokea maambukizi ya HIV kutoka magrop hayo tu.

Vilevile Group B anakua donated na magroup B na O tu, na anaweza kupokea maambukizi ya HIV kupitia magroup hayo.

Ila stay safe use protection

I’m glad kufahamu hili.
 
Pia hata nikipata sitegemei kujuta Wala kushtuka naona kawaida tu nafsi yangu iko poa tu
Upo kama mimi kabisa. Nilimbadua demu ambe ni +ve tena kwa kumpima mwenyewe miaka miwili sasa imepita kila nikipima ni -ve lakini hta ikitokea hio +ve haitanitisha wala nini
 
Ukimwi ni drama
Nasikia sikia sisi group O ni much resistant kwenye magonjwa.
MIMI nilinyandua bar made + bila kujua lakini tumeenda mara mbili kanambia yeye + na dawa hataki kutumia nikamwacha lakini mpaka sasa sina maambukizi.nadhani hiv ni drama tu na kama vipi nihoji au nenda YouTube kacheki why nasema drama
 
Back
Top Bottom