Madaktari, kwanini Mimi sijapata UKIMWI mpaka sasa?

INAWEZEKANA KABISA MKUU. Kuna watu dunia asilimia kama 10 hivi Cell zao huwa hazina Vitu vinavyowezesha Virus kujishikiza kwenye Cell hizi na kuweza kuivamia na kujizalishaa.. Viti hivi huitwa CO RECEPTORS za HIV huitwa CCR5 Hivi ni kama viantenaa ambavyo husaidia Virua kujizalisha vikiwa ndani ya Cell so kama Cell itakosa hizi Receptors bhasi huwezi kupata Ukimwi milele yote. Watu wenye hii hali ni wachache sana duniani ila wapo.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Mazingira yaliyokuwepo niliozeshwa kwa lazima,hivyo ilibidi iwe ivyo.halafu hata wewe ulianza michezo ya kuwabeba wababa wakubwa Kama babu yako tangu ukiwa mdogo Sana ndio maana wanawarithi.
Unaozeshwa mtoto na wewe na mimvi yako unachekelea tu, tena ulivyokosa haya mbakaji wewe sio tu kumnyanyasa huyo mtoto kingono bali pia na VVU ukatamani kumpa, umeona sasa kila ukijitahidi hapati ndio waja kujiulizisha kinafki hapa,

Kufa haraka ili huyo mtoto apate uhuru wake.
 
Ni story ndefu sana mkuu

Nilimuoa akiwa mdogo Sana ana miaka 13 na hakuwa anajua chochote kuhusu afya yake.

Huwa Nina mazoea ya kucheki afya mara kwa mara kabla hata sijaoa,so baada ya kuoa nilienda nae na tukacheki wote vipimo mbalimbali Kama kawaida ndio nikagundua,nikafanya uchunguzi kwenye ile familia nikagundua kuhusu ukweli halisi wa mama na baba na familia yao kwa ujumla.

Ni story ndefu ila kidogo nitakuwa nimekujibu vizuri
Umemuoa akiwa na miaka 13 , aisee kesi ya miaka 30 jela inabidi ikuhusu
 
Discordant couple, hongera. Sasa utulie usije ukaupata kwingine ukamsingizia huyo binti mdogo, halafu ilikuwaje ukaoa mtoto mdogo hivyo, khaaaa
 
Ni story ndefu sana mkuu

Nilimuoa akiwa mdogo Sana ana miaka 13 na hakuwa anajua chochote kuhusu afya yake.

Huwa Nina mazoea ya kucheki afya mara kwa mara kabla hata sijaoa,so baada ya kuoa nilienda nae na tukacheki wote vipimo mbalimbali Kama kawaida ndio nikagundua,nikafanya uchunguzi kwenye ile familia nikagundua kuhusu ukweli halisi wa mama na baba na familia yao kwa ujumla.

Ni story ndefu ila kidogo nitakuwa nimekujibu vizuri
We umembaka huyo mtoto. Miaka 13 ni minor.

Ni bahati mbaya kuna maeneo mengi Tanzania bado wana hizi tamaduni.
 
Just a point of curiosity, Why not work on those inhibitor cell receptors mechanism (if there is any) to develop a vaccine for HIV??!!-----take it as a Challenge or opportunity Madame Dr 🤣.

"One day you maybe a Nobelist in Medicine."

Why Corona have found vaccines but HiV is still kimbembe so far???
Shida ya HIV vaccine IPO kwenye clinical trial, kupata watu wajitolee ndiyo shida. Hata hivyo, zipo clinical trials ambazo zinaendelea hivyo ufuatiliaji kwa waliojitolea unaendelea kufanyika.
 
Haka kachai ka mchana kama uchungu uchungu fulani sijui wamekatia miti shamba kidogo. Naona Luna jamaa ameshindwa kukanywa ile kapiga tu fundi la kwanza kakunja sura na kukatema kachai
 
Kwa wale wapiga punyeto kupata ukimwi ni nguma sababu, ombo imeweka Lea nguma ambayo maku kuchubua ni ngumu!!

Je mdau hukuwa mwanachama wa chaputa!???
 
Nimeshangaa sana kwanini hauko lupango unadunda tu uraiani usikute ulianza kumpanda huyoo mtoto toka akiwa akiwa ana miaka 8
 
Back
Top Bottom