Kwanini mpaka sasa sipati ukimwi?

Mkushi Mbishi

JF-Expert Member
Sep 30, 2018
318
513
Habari zenu

Ndugu zangu msichanganywe na kichwa cha habari na mkaja kunitusi na kunijibu ovyo,sio kwamba nataka nipate.Bali nataka Wataalam na wajuzi waje watupe elimu itakayotupatia faida mimi na nyinyi

Wengi tunaamini kwamba ngono ndio chanzo kikubwa cha maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,hata katika kampeni mbalimbali tunahimizwa kuacha ngono zembe na tutumie kinga ili kujikinga na maradhi haya.

Sasa ni miaka mingi sana tangu nimuoe mke mwenye virusi vya ukimwi na sikuwahi kutumia kinga mpaka siku nilipojua kuwa ni muathirika imeshapita miezi mingi nikaenda kupima nikaambiwa niko salama nikapewa na kondom nakumbuka niliitumia siku moja tu na nikasema kwa roho safi kuwa liwalo na liwe kupata kutokupata yote ni sawa sote tutakufa na sinaga kabisa hofu wala kuwaza hata sikujali tena hiyo issue ili kumpa amani ya roho maana alishapatwa na mshtuko hata yeye hakutegemea kwan alikuwa ni mdogo na alizaliwa nao ni mama yake ndio alikuwa anaficha ukweli

Nikaishi nae yafika mwaka wa sita sasa na Mungu ametujaalia watoto wa kiume wawili ambao wao wako salama kwa kuwa nafuata taratibu zote za kidaktari juu ya watoto wanaozaliwa na mama mwenye HIV.

Huwa nasex nae kavukavu,wakat mwingine showshow za kufa mtu,kimaumbile niko vizuri,wakat mwingine michubuko na vidonda wakat wa sex na michubuano hutokea mara kwa mara kutokana show za vurugu zinazotokea.

Lakini sasa ni mwaka wa sita au watano leo nimempeleka akachukue dawa nikapima majibu yanakuja bado niko salama

Sasa najiuliza hivi kuna uwezekano gani miaka yote hiyo bado nisipate ukimwi,kwanini sipati ama ngono sio sababu kuu ya kupata ukimwi ama kuna vitu vingine vinachangia ama inakuwaje kuwaje hii hali.

Tukumbuke kuwa hata nikipata mimi sijali nafsi yangu ilishakunjua kiroho safi na siogop wala sina hofu yani naishi tu safi tu najua kufa kupo haijalishi NITAKUFAJE.

Wataalam,wajuzi na madakatari hebu mkuje kidogo mnieleze kitu kuhusu hili,huenda wengine wakapat elimu na kufaidika pia.

Matusi na kebehi si vyema wandugu ni bora upite tu pia nisieleweke vibaya kwenye bandiko langu hili kwani ni kweli ukimwi upo na unaua na hata nami nimeshuhudia.

Nawasilisha
 
Habari zenu

Ndugu zangu msichanganywe na kichwa cha habari na mkaja kunitusi na kunijibu ovyo,sio kwamba nataka nipate.Bali nataka Wataalam na wajuzi waje watupe elimu itakayotupatia faida mimi na nyinyi

Wengi tunaamini kwamba ngono ndio chanzo kikubwa cha maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,hata katika kampeni mbalimbali tunahimizwa kuacha ngono zembe na tutumie kinga ili kujikinga na maradhi haya.

Sasa ni miaka mingi sana tangu nimuoe mke mwenye virusi vya ukimwi na sikuwahi kutumia kinga mpaka siku nilipojua kuwa ni muathirika imeshapita miezi mingi nikaenda kupima nikaambiwa niko salama nikapewa na kondom nakumbuka niliitumia siku moja tu na nikasema kwa roho safi kuwa liwalo na liwe kupata kutokupata yote ni sawa sote tutakufa na sinaga kabisa hofu wala kuwaza hata sikujali tena hiyo issue ili kumpa amani ya roho maana alishapatwa na mshtuko hata yeye hakutegemea kwan alikuwa ni mdogo na alizaliwa nao ni mama yake ndio alikuwa anaficha ukweli

Nikaishi nae yafika mwaka wa sita sasa na Mungu ametujaalia watoto wa kiume wawili ambao wao wako salama kwa kuwa nafuata taratibu zote za kidaktari juu ya watoto wanaozaliwa na mama mwenye HIV

Huwa nasex nae kavukavu,wakat mwingine showshow za kufa mtu,kimaumbile niko vizuri,wakat mwingine michubuko na vidonda wakat wa sex na michubuano hutokea mara kwa mara kutokana show za vurugu zinazotokea.

Lakini sasa ni mwaka wa sita au watano leo nimempeleka akachukue dawa nikapima majibu yanakuja bado niko salama

Sasa najiuliza hivi kuna uwezekano gani miaka yote hiyo bado nisipate ukimwi,kwanini sipati ama ngono sio sababu kuu ya kupata ukimwi ama kuna vitu vingine vinachangia ama inakuwaje kuwaje hii hali.

Tukumbuke kuwa hata nikipata mimi sijali nafsi yangu ilishakunjua kiroho safi na siogop wala sina hofu yani naishi tu safi tu najua kufa kupo haijalishi NITAKUFAJE

Wataalam,wajuzi na madakatari hebu mkuje kidogo mnieleze kitu kuhusu hili,huenda wengine wakapat elimu na kufaidika pia.

Matusi na kebehi si vyema wandugu ni bora upite tu pia nisieleweke vibaya kwenye bandiko langu hili kwani ni kweli ukimwi upo na unaua na hata nami nimeshuhudia.

Nawasilisha
Sometime haya maisha yana maajabu Sana .....mfano unaweza kuwa umejizira ...na kujitupa barabarani ili ujiue .....then unakuta hamna kinachokutokea

So kwa tatzo lako ni kwamba kila mtu ana destiny yake ....

Hivyo wewe haujaandikiwa kupita kwenye hiyo njia ya HIV

You have ur own destiny
 
Habari zenu

Ndugu zangu msichanganywe na kichwa cha habari na mkaja kunitusi na kunijibu ovyo,sio kwamba nataka nipate.Bali nataka Wataalam na wajuzi waje watupe elimu itakayotupatia faida mimi na nyinyi

Wengi tunaamini kwamba ngono ndio chanzo kikubwa cha maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,hata katika kampeni mbalimbali tunahimizwa kuacha ngono zembe na tutumie kinga ili kujikinga na maradhi haya.

Sasa ni miaka mingi sana tangu nimuoe mke mwenye virusi vya ukimwi na sikuwahi kutumia kinga mpaka siku nilipojua kuwa ni muathirika imeshapita miezi mingi nikaenda kupima nikaambiwa niko salama nikapewa na kondom nakumbuka niliitumia siku moja tu na nikasema kwa roho safi kuwa liwalo na liwe kupata kutokupata yote ni sawa sote tutakufa na sinaga kabisa hofu wala kuwaza hata sikujali tena hiyo issue ili kumpa amani ya roho maana alishapatwa na mshtuko hata yeye hakutegemea kwan alikuwa ni mdogo na alizaliwa nao ni mama yake ndio alikuwa anaficha ukweli

Nikaishi nae yafika mwaka wa sita sasa na Mungu ametujaalia watoto wa kiume wawili ambao wao wako salama kwa kuwa nafuata taratibu zote za kidaktari juu ya watoto wanaozaliwa na mama mwenye HIV

Huwa nasex nae kavukavu,wakat mwingine showshow za kufa mtu,kimaumbile niko vizuri,wakat mwingine michubuko na vidonda wakat wa sex na michubuano hutokea mara kwa mara kutokana show za vurugu zinazotokea.

Lakini sasa ni mwaka wa sita au watano leo nimempeleka akachukue dawa nikapima majibu yanakuja bado niko salama

Sasa najiuliza hivi kuna uwezekano gani miaka yote hiyo bado nisipate ukimwi,kwanini sipati ama ngono sio sababu kuu ya kupata ukimwi ama kuna vitu vingine vinachangia ama inakuwaje kuwaje hii hali.

Tukumbuke kuwa hata nikipata mimi sijali nafsi yangu ilishakunjua kiroho safi na siogop wala sina hofu yani naishi tu safi tu najua kufa kupo haijalishi NITAKUFAJE

Wataalam,wajuzi na madakatari hebu mkuje kidogo mnieleze kitu kuhusu hili,huenda wengine wakapat elimu na kufaidika pia.

Matusi na kebehi si vyema wandugu ni bora upite tu pia nisieleweke vibaya kwenye bandiko langu hili kwani ni kweli ukimwi upo na unaua na hata nami nimeshuhudia.

Nawasilisha
Kwa baadhi ya watu miili yao ina UWEZO wa kuzuia virusi kuleta athari au kupona kabisa.
Hivi karibuni kuna mtu aliripotiwa kupona HiV bila tiba yoyote:

 
Hupati maana hujakutana na waathirika imagine tuko milion 60 walio athirika hawafikii milion tano, Hadi huupate ujue umekubuhu mno kupita kiasi
Mbona kama sijakuelewa mpendwa,umesoma nilichoandika kama jibu ni ndiyo basi naomba unifumbue zaidi
karibu
 
Kuna wakati nilisoma utafiti kuhusu sex workers wa Nairobi waliokuwa wanajamiana bila kinga na hawakupata HIV.

Ikawa inasemwa kwamba kuna watu wana vinasaba (genes) vinavyowafanya wasipate maambukizi.

Labda na wewe una vinasaba hivyo.
 
Back
Top Bottom