Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Sasa haya mafunzo mbona hamtaki kuyarithisha kwa vitendo?

Mnataka mtuachie kizazi cha ovyo ovyo

Sent using Jamii Forums mobile app


😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ukapimwe wewe aisee..nimecheka sana..hahaja eti tuache kizaz cha hvyo.hahahhaa nyie si mnajidai mambo ya uani ndo habari ya mujini!endeleen kula matope mtuache na raha zeti
 
Hahaha kule labda itokee tu nimekosea lakini sijawahi kudhamiria kabisa nataka kwenda huko....halafu hata sio kutamu kama raia wanavyoaminishwa ni kwa ovyo sana hahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukapimwe wewe aisee..nimecheka sana..hahaja eti tuache kizaz cha hvyo.hahahhaa nyie si mnajidai mambo ya uani ndo habari ya mujini!endeleen kula matope mtuache na raha zeti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii bia tamu bana
IMG_20190226_132431.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha kule labda itokee tu nimekosea lakini sijawahi kudhamiria kabisa nataka kwenda huko....halafu hata sio kutamu kama raia wanavyoaminishwa ni kwa ovyo sana hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unakuta mtu anapasifia unajiuliza maswali mengi bila majibu alafu unaamua kukaa kimya na kusikitika kimoyomoyo

God save us
 
Una hamu 4G asitokeee hiyo siku[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂Anaweza asitokee???hahaha tunajilandukia wenyewe babu wee kwan sh ngap😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Anaweza asitokee???hahaha tunajilandukia wenyewe babu wee kwan sh ngap[emoji23][emoji23]
Hawezi kuja nikiwepo huyo.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]asipokuja tunapiga maji ya kutosha na tunalipa bili wenyewe.
Ila mheshimiwa 4G LTE uje hiyo siku bhana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom