Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,949
- 831,478
- Thread starter
- #541
Rais na Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Boeing ametoa kauli yake inayoambatana na salamu za Rambirambi kuhusu ajali ya ndege aina ya Boeing 787 ya shirika la Air India iliyotokea mapema Alhamisi ya leo.
Kauli hiyo inasema;
"Rambirambi zetu za dhati ziwaendee wapendwa abiria na wafanyakazi kwenye ndege ya Air India Flight 171, vile vile
kila mtu aliyeathiriwa huko Ahmedabad."
"Nimezungumza na Mwenyekiti wa Air India, N.Chandrasekaran kutoa msaada kamili na timu ya Boeing inasimama tayari kuunga mkono uchunguzi unaoongozwa na ofisi ya Uchunguzi wa Ajali za Ndege ya India"
Mwisho wa nukuu
Kelly Ortberg
Rais wa Boeing na Mkurugenzi Mtendaji - BOEING
Kauli hiyo inasema;
"Rambirambi zetu za dhati ziwaendee wapendwa abiria na wafanyakazi kwenye ndege ya Air India Flight 171, vile vile
kila mtu aliyeathiriwa huko Ahmedabad."
"Nimezungumza na Mwenyekiti wa Air India, N.Chandrasekaran kutoa msaada kamili na timu ya Boeing inasimama tayari kuunga mkono uchunguzi unaoongozwa na ofisi ya Uchunguzi wa Ajali za Ndege ya India"
Mwisho wa nukuu
Kelly Ortberg
Rais wa Boeing na Mkurugenzi Mtendaji - BOEING