Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,929
- 828,571
- Thread starter
- #801
Chicago, Marekani - United Airlines imetangaza kuanzishwa kwa mpango wa "United Relax Row", mbinu ya mpangilio mpya wa viti vya abiria kwenye safari za masafa marefu unaoruhusu abiria kubadilisha viti vitatu vya uchumi kuwa kama kitanda cha chini.
Hii ni mara ya kwanza kampuni ya usafiri wa anga ya Marekani kuanzisha aina hii ya chaguo la viti vya kulala kwenye daraja la uchumi.
Mpangilio huu mpya utasimikwa kwenye ndege zaidi ya 200 za Boeing 787 na Boeing 777 kufikia 2030, na utaanza kutumika kuanzia mwaka 2027.
Abiria wanaokata tiketi za "Relax Row" watapokea kifurushi maalum ikiwa ni pamoja na godoro binafsi, blanketi laini, mito miwili ya ziada, na kifurushi cha kusafiri cha watoto.
Vipumziko vya miguu (Foot rest) vinavyoweza kujikunja kwa pembe ya digrii 90, kutokea chini na kubadilisha au kutengeza muonekano tambarare mfanowa sofa.
Wazo hili ni sawa na "Skycouch" lililotolewa na shirika la ndege la Air New Zealand na pamoja na mawazo kama hayo kutoka Lufthansa na All Nippon Airways (ANA)
Hii ni mara ya kwanza kampuni ya usafiri wa anga ya Marekani kuanzisha aina hii ya chaguo la viti vya kulala kwenye daraja la uchumi.
Mpangilio huu mpya utasimikwa kwenye ndege zaidi ya 200 za Boeing 787 na Boeing 777 kufikia 2030, na utaanza kutumika kuanzia mwaka 2027.
Abiria wanaokata tiketi za "Relax Row" watapokea kifurushi maalum ikiwa ni pamoja na godoro binafsi, blanketi laini, mito miwili ya ziada, na kifurushi cha kusafiri cha watoto.
Vipumziko vya miguu (Foot rest) vinavyoweza kujikunja kwa pembe ya digrii 90, kutokea chini na kubadilisha au kutengeza muonekano tambarare mfanowa sofa.
Wazo hili ni sawa na "Skycouch" lililotolewa na shirika la ndege la Air New Zealand na pamoja na mawazo kama hayo kutoka Lufthansa na All Nippon Airways (ANA)