Faida za cvtWazoefu wa magari madogo yanayotumia Continuously Variable Transmission ( CVT)
Ninaomba ushauri kuhusu faida za CVT na je yana hasara gani pia? Hapa Tz mafundi na vipuli vinapatikana wapi? Nk
Asante Mshana Jr, je unanishauri ninunue? Au niagize tu AT?Faida za cvt
.hupunguza gharama
.huokoa muda
.hulinda gari
.efficiency iko juu
Hasara za CVT
Haipatikani kila mahali
Ukiweka tofauti umeua gearbox
Nunua bila shakaAsante Mshana Jr, je unanishauri ninunue? Au niagize tu AT?
Hizi za Lita 1 mara nyingi sio OG nunua lita 4 ya canZote ni 5w30 je tofauti ni ipi ingawa moja lita 4 na nyingine lita 1 au dumu tu wamebadilisha packaging? View attachment 1624415View attachment 1624416
Tatizo liko kwenye gearbox bro hebu fundi aangalie tena wakati anarudishia systemWajuzi wa mambo naombeni ushauri wenu nina gari Toyota Avensis iliua engine nilivyoenda mkoani ikanilazimu nirudi Dar kununua engine nyingine, nikanunua engine 1AZ ya toyota Noah Vox pamoja control box na wiring yake yote, baada ya kufunga engine gari iliwaka vizuri ila changamoto ikawa ukiwe gear D gari inazima hapo hapo ila ukiweka riverse R gari inasogea vizuri, naombeni mawazo yenu kwa wale wenye uzoefu na haya magari yanayotumia mifumo ya umeme
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Je tatizo itakua ni sensor au ikibid nibadilishe gear box niweke ya vox kabisa?Tatizo liko kwenye gearbox bro hebu fundi aangalie tena wakati anarudishia system
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Pia nilisahau jambo 1 ni kua hata resi haipigi yaan ukikanyaga pedal ya mafuta haivuti mafuta kabisaTatizo liko kwenye gearbox bro hebu fundi aangalie tena wakati anarudishia system
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Ukiweza weka ya Vox kabisaJe tatizo itakua ni sensor au ikibid nibadilishe gear box niweke ya vox kabisa?
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Bado kwenye engine kuna shida kaka haifungwa vizuri mifumo yakePia nilisahau jambo 1 ni kua hata resi haipigi yaan ukikanyaga pedal ya mafuta haivuti mafuta kabisa
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Ila kabla hatujabadilisha contral box il ikua inawaka fresh na unatembea kidogo kisha inazima au ikikaa silance kwa muda ukiwasha utachukua mud mrefu kuwakaa ndo tukaona tubadilishe contral boxBado kwenye engine kuna shida kaka haifungwa vizuri mifumo yake
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Tatizo lilikuwa dogo badoIla kabla hatujabadilisha contral box il ikua inawaka fresh na unatembea kidogo kisha inazima au ikikaa silance kwa muda ukiwasha utachukua mud mrefu kuwakaa ndo tukaona tubadilishe contral box
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
So unadhani mpaka hapo kuna haja ya kubadilisha gearbox?
Sina hakika kwakweliSo unadhani mpaka hapo kuna haja ya kubadilisha gearbox?
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Heri ya mapumziko ya Krismass na mwaka mpya ujao!
Naulizia expert wa vifaa au spea original za Honda CRV, first Generation - RD1 zinazotumia injini ya B20B au Contacts za fundi yeyote mmbobezi wa kusuka injini ya gari hizo tafadhali
View attachment 1659261
Cheki huyu0716675111Heri ya mapumziko ya Krismass na mwaka mpya ujao!
Naulizia expert wa vifaa au spea original za Honda CRV, first Generation - RD1 zinazotumia injini ya B20B au Contacts za fundi yeyote mmbobezi wa kusuka injini ya gari hizo tafadhali
View attachment 1659261