muhamar Gadaf
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 1,054
- 994
uzi mzuri
Habari, naomba kuuliza kati ya Harrier tako la nyani na vanguard ipi bora?
Nikiweza kupata ufafanuzi wa uzuri na changamoto ya kila moja itapendeza ili isaidie katika kufanya mamaamuzi
Nawakilisha.
Vanguard ni imara zaidi na stability yake ni kubwa barabarani kuliko kalio ya nyaniHabari, naomba kuuliza kati ya Harrier tako la nyani na vanguard ipi bora?
Nikiweza kupata ufafanuzi wa uzuri na changamoto ya kila moja itapendeza ili isaidie katika kufanya mamaamuzi
Nawakilisha.
Ushauri nataka kununua Vitz old model namba C kwa 5.3m.Hiyo bei imekaaje wadau? ni sawa?
Gearbox bush inaweza kuwa ndio tatizo
Bado unayo hii ndingagari ya ukweli mwaka wa 2 nipo nayo haijawah nisumbua kubadilisha vitu vidogo vidogo tu
Ushauri nataka kununua Vitz old model namba C kwa 5.3m.Hiyo bei imekaaje wadau? ni sawa?
Wakuu gari yangu pale inapobadili gear kama ina mshtuko hivi tatizo nini?Gari ni automatic
Cc Mshanajr @prodo
Msaada wakuu
Gari inapiga alarm kama kuna mlango uko wazi. Ila milango yote imefungwa. Nikiiwasha kwenye dash body inaonesha mlango uko wazi. Nikiwasha taa hiyo alama kwenye dashboard inatoka
Tatizo lako lilipata ufumbuzi?
Hapana mkuu
Natamani kuijua nisan juke na je naweza kuipata kwa mtu namba c au d mkuu ?Gearbox bush inaweza kuwa ndio tatizo
Inafanya hivyo kila inapobadili gear na ni kwa gear zote?
Inapo toka kwenye namba mbili kwenda tatu
Ni kushtuka tu au pia inachelewa kubadili?