RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,383
- 1,852
Hawa jamaa nimefanya nao biashara, wako vizuri Genuine Japanese Car Part Imports - Amayama
Hawa jamaa nimefanya nao biashara, wako vizuri Genuine Japanese Car Part Imports - Amayama
Juke ni ngumu, na sporty. Kwenye spea nafikiri utasumbuka kidogo, as ni gari ya karibuni 2010/2011. Spare used ni chache. Unless uwe mtunzaji saana, au uwe teyari kununua OEM parts ambazo zitakua expensive. Engine nyingi ni 1.5l 1.6l ambazo ni very economy, so suala la mafuta sio ishu.Naomba mwenye uzoefu ama kujua haya magari aniambie kwa kirefu...in terms of spare availability hapa tz.. uimara..fuel economy...na kila kitu kwa ujumla
1. NISSAN JUKE
2. NISSAN QASHQAI
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu kwa maelezo yako.Juke ni ngumu, na sporty. Kwenye spea nafikiri utasumbuka kidogo, as ni gari ya karibuni 2010/2011. Spare used ni chache. Unless uwe mtunzaji saana, au uwe teyari kununua OEM parts ambazo zitakua expensive. Engine nyingi ni 1.5l 1.6l ambazo ni very economy, so suala la mafuta sio ishu.
Qashqai, pia engine wise ni kama Juke, though yenyewe ina a 2.0l variant. Suala la spea, ni same ishu. Ni magari machache Bongo, so hata wauzaji wa spea wanaogopa kuzileta as wanaweza kukosa wateja. Ila kama unapenza hizo gari, siku hizi kila spea inapatikana, unaagiza tuu.
Haina shida kwa Tanzania. Sema suspension zake ni very firm. So kwa barabara zetu, haitakua comfortable. Pia ndani ni kidogo aise, hakina space kivile.Asante sana mkuu kwa maelezo yako.
Ukisema OEM Parts una mana gani?
Na zipi ni changamoto kubwa kwa Nissan Juke kwa mazingira haya ya Tanzania?
Na vp inaweza kwenda masafa marefu bila kuchemsha??
Na kati ya Juke ya 2010, 2011 na 2012 ipi unaona ni nzuri kwamba ktk matoleo hayo nini hasa kimebadilika...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipi mojawapo hapo?Salamu wakubwa
Gari yangu Toyota kluger inawaka taa hii na kuzima kila baada ya muda
Tatizo ni nini au inaashiria shida gani
Asante wakuuView attachment 564832
Ni alama kama hiyo namba 62
Kuna sababu nyingi ninazoweza kufikiria. Moja inaweza kuwa brake pads zako zimekwisha, so vyuma vinafanya direct contact na disks (rotors) za brake ambazo kawaida huwa zinapata joto saana wakati unapoendesha gari na kutumia brake, so joto linapita kwenye calipers na kufika mpaka kwenye rims. Ukiongeza na fact kwamba most Probox zinakua na rims za chuma, hivyo zinapata joto sana kuliko zile za aluminium alloy.Habari zenu wakuu...gari yangu(Toyota probox) inatatizo la kupata joto sana kwenye tairi za mbele nimejaribu kuikagua kidogo nikagundua ni ile disk ya break inakuwa ya moto kisha inaambukiza kwenye rim...je tatizo ni nini wataalam
Hiyo ni ya check engine, kaka hakuna fault yoyote na inawaka kisha baada ya muda inazima tena hapo ujue ni warning sigh ya kubadili timing beltNi hiyo alama namba 62 mkuu
Nashukuru sana kwa maelezo yako ndg.Nimekagua nikagundua ni brake pads zinagusana na disks muda wote hata wakati sijakanyaga brake.sasa sijajua kama ni pads zimeisha ama ni disks zimepinda.itabidi nipeleke kwa fundi akalikague vzr.Kuna sababu nyingi ninazoweza kufikiria. Moja inaweza kuwa brake pads zako zimekwisha, so vyuma vinafanya direct contact na disks (rotors) za brake ambazo kawaida huwa zinapata joto saana wakati unapoendesha gari na kutumia brake, so joto linapita kwenye calipers na kufika mpaka kwenye rims. Ukiongeza na fact kwamba most Probox zinakua na rims za chuma, hivyo zinapata joto sana kuliko zile za aluminium alloy.
Pia inawezekana brake disks (rotors) zako zina mawimbi, kiasi kwamba zinagusa brake components muda mwingi gari linapotembea, hata kama hujatumia brake. So unapotumia brake, joto linakua kali zaidi.
Pia unawezakuta disks za mbele kwenye gari lako sio ventilated (hazina matundu matundu kati ya disk ya ndani na ya nje). Hii sidhani saana, as mara nyingi brake za mbele za gari nyingi za Toyota zinakua na ventilated disks, unless kama ziliwahi kubadilishwa kimakosa. So unaweza kuanza na kucheck pads, kama ziko sawa, piga jack, weka neutral, au free kama ni manual gearbox, zungusha tairi lako, kama halifanyi mzunguko mmoja na nusu freely, then jua disks zinagusana na brakepads hata bila kukanyaga brakes.
Hiyo ni ya check engine, kaka hakuna fault yoyote na inawaka kisha baada ya muda inazima tena hapo ujue ni warning sigh ya kubadili timing belt
Sent using Jamii Forums mobile app
na ya kwangu ilikua inawaka lakin baada ya kubadili fen belt ikaacha kuwakaHiyo ni ya check engine, kaka hakuna fault yoyote na inawaka kisha baada ya muda inazima tena hapo ujue ni warning sigh ya kubadili timing belt
Sent using Jamii Forums mobile app
na ya kwangu ilikua inawaka lakin baada ya kubadili fen belt ikaacha kuwaka
Mmh sijawahi kuangalia tofauti zake kitaalam kwakweli kwakuwa ni ndogo MNOKaka mshana naomba kuuliza tofauti ya Rav4 l na Rav j zote za mwaka 1999 Na gharama zake ziko vip?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmmmhna ya kwangu ilikua inawaka lakin baada ya kubadili fen belt ikaacha kuwaka
Mkuu naomba uniambie zaidi kuhusu hizi wanaita VolksWagen Passat, kwa kila kitu kwa ujumla??Spare yake ghali service inataka genuine lubricants na parts ila zinadumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app