Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
- Thread starter
- #5,421
Niwe mkweli kwenye hili hizi gari sina uzoefu nazo kabisaMkuu naomba uniambie zaidi kuhusu hizi wanaita VolksWagen Passat, kwa kila kitu kwa ujumla??
Hasa spea availability, fuel economy na uwezo wa kwenda masaa marefu kama 1000km bila kuchemsha??
Engine ipi nzuri...1.4T TSI petrol ama 1.6TDi ama 2.0TDi diesel??
Sent using Jamii Forums mobile app
Jr