Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mkuu naomba uniambie zaidi kuhusu hizi wanaita VolksWagen Passat, kwa kila kitu kwa ujumla??
Hasa spea availability, fuel economy na uwezo wa kwenda masaa marefu kama 1000km bila kuchemsha??
Engine ipi nzuri...1.4T TSI petrol ama 1.6TDi ama 2.0TDi diesel??

Sent using Jamii Forums mobile app
Niwe mkweli kwenye hili hizi gari sina uzoefu nazo kabisa

Jr
 
Sawa Mkuu ila vp VolkSwagen kwa ujumla kwa mazingira ya Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni spare ila nazikubali sana hasa VW CARAVELLE
d6558fd2ed19f86f80321c2176c7d01e.jpg


Jr
 
Hizo ni maarufu sana South na China hapa kwetu sio kivile

Jr
Okay mkuu...naomba nikuulize kitu....
hivi kuagiza magari UK hasa Autotrader unaonaje kwa kwa ujumla mana naona magari yao mengi sana yametembea miles nyingi..
na izo miles ukija kuzileta kwenye KMs ..mengi yanachezea kwenye 200,000kms tofauti na ya Be Foward mileage zake sio kubwa sana...hii imekaaje mana inanipaga ukakasi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Audi A4 vp Mkuu any ideas???

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na magari hayo..utalipaki soon..gari za kijerumani ( Audi, M/Benz, BMW ) zina body ngumu sana ukiona imesimama makini kweli utasema ni mpya kabisa kumbe imeshagonga 600,000km. Oil filter tu lazima uagize Dubai/ SA..utaalam wa kuzitengeneza hapa Tz ni 10% tu. Chukua mjapan ulale usingizi mkuu.
 
Achana na magari hayo..utalipaki soon..gari za kijerumani ( Audi, M/Benz, BMW ) zina body ngumu sana ukiona imesimama makini kweli utasema ni mpya kabisa kumbe imeshagonga 600,000km. Oil filter tu lazima uagize Dubai/ SA..utaalam wa kuzitengeneza hapa Tz ni 10% tu. Chukua mjapan ulale usingizi mkuu.
Haha Mkuu mbona unanitisha Mkuu...
Vp ila nasikia spea zake japo bei ghali kakini nasikia ukifunga original nasikia unaweza kukaa miaka usinunue spea...
Unasemaje kuhusu ilo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oy Wakuu naombeni mwenye kujua tofauti ya European cars za kuagiza Japan na zile za Autotrader ama Singapore...
kwa mana ya Autotrader na Singapore yanaonekana mazuri halafu kama yanang'aa like brand new ila ya Be forward sio km ya auto...
Sema sasa uko Autotrader magari yao mengi yametembea miles nyingi ambazo ukija kuziconvert kwny kms unachezea Kms kama laki mbili hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom