Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
- Thread starter
- #5,361
Hazibadiliki kwakuwa kinachosoma ni tyre kupitia mfumo wa gearboxWakuu nataka kujua hivi gari ukibadili engine itasoma kilometa zilezile za Mwanzo au italeta kilometa za engine uweka
Nina maana hii kilometa za gari zinasomwa kwenye engine au zinasomwa sehemu nyingine tofauti na engine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app