Machinga waanza kumlilia Hayati Magufuli

Tuombe Mungu iliapatikane kama alivyokua Hayati Raisi Dr. Julius Kambarage Nyerere pamoja na Hayati Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Wanyonge wanatakiwa kutetewa sasa hivi wanyonge wanapata shida sana wamachinga wametolewa bila shirikisho, kwa sasa hawana msaada wote.
 
Tuombe Mungu iliapatikane kama alivyokua Hayati Raisi Dr. Julius Kambarage Nyerere pamoja na Hayati Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Wanyonge wanatakiwa kutetewa sasa hivi wanyonge wanapata shida sana wamachinga wametolewa bila shirikisho, kwa sasa hawana msaada wote.
Ulimwengu uliopita hauna msaada na wakati huu.
 
Tuombe Mungu iliapatikane kama alivyokua Hayati Raisi Dr. Julius Kambarage Nyerere pamoja na Hayati Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Wanyonge wanatakiwa kutetewa sasa hivi wanyonge wanapata shida sana wamachinga wametolewa bila shirikisho, kwa sasa hawana msaada wote.
Malimshirikisha nani kwenda kuvamua barabara. Machinga milioni 5 msumbue wagu milioni 55. Muwazibue njia, muwaibie,muwatukane muwashije matako kina mama nk , nk
Upumbavu wa machinga umefija mwisho.
Mtu anatoroka shule form two anakimbilua umachinga, anabeba nyembe, vitana na mikanda miwili .
F#ck all crazy machinga!!
 
Hatimaye kilio cha machinga kumlilia JPM, chaanza kusikika, baada ya gari la matangazo kupita mitaa ya tandika na kuwaambia kuwa mwisho wa kupanga bidhaa zao, pembeni mwa barabara, mbele ya maduka, na kwenye hifadhi za barabara mwisho ni 18.10.2021.Hivyo wanatakiwa kuondoka mapema na kwenda sehemu walizopangiwa, baada ya muda huo, wasije kuilaumu serikali!!Ndipo wakaanza kuimba "tunakukumbuka jpm mtetezi wa wanyonge sasa haupo tumeanza kunyanyaswa" Sasa naona serikali imeamua kweli, ni jambo zuri sana kwani ilikuwa ni kero tupu.
WAlie tuu hadi wajaze machozi kwenye mapipa,nchi ya kuwa hovyo hovyo kuchafua mazingira hakuna..

Jirani na ofisini kwetu ,nyuma ya jengo machinga wamegeuza mgahawa tena bila kujali usafi ..hii haikubaliki.
 
Hatimaye kilio cha machinga kumlilia JPM, chaanza kusikika, baada ya gari la matangazo kupita mitaa ya tandika na kuwaambia kuwa mwisho wa kupanga bidhaa zao, pembeni mwa barabara, mbele ya maduka, na kwenye hifadhi za barabara mwisho ni 18.10.2021.Hivyo wanatakiwa kuondoka mapema na kwenda sehemu walizopangiwa, baada ya muda huo, wasije kuilaumu serikali!!Ndipo wakaanza kuimba "tunakukumbuka jpm mtetezi wa wanyonge sasa haupo tumeanza kunyanyaswa" Sasa naona serikali imeamua kweli, ni jambo zuri sana kwani ilikuwa ni kero tupu.
Wao wanamlilia JPM,wenye maduka wanamshangilia Samia...."maisha ni mua". leo wala patamu kesho wala fundo!!
 
Naona dalili za sisiemu kupoteza uchaguzi ujao.
CCM wazee wa figisu walijua mapema ndio maana ukifanya jogging na tisheti ya TLP unaswekwa ndani....
Na kuhusu mbinu za kwenye masanduku ya kura ndio kabisa kamati ya ufundi imeongezewa nguvu kwa kumpa Makamba ulaji... Kinana yupo hapo anapasha!
 
Malimshirikisha nani kwenda kuvamua barabara. Machinga milioni 5 msumbue wagu milioni 55. Muwazibue njia, muwaibie,muwatukane muwashije matako kina mama nk , nk
Upumbavu wa machinga umefija mwisho.
Mtu anatoroka shule form two anakimbilua umachinga, anabeba nyembe, vitana na mikanda miwili .
F#ck all crazy machinga!!
Wewe ndio kichaa hiyo hesabu ya milioni 55 uneitoa wapi? Tanzania kuna wafanyabiashara milioni 55? Next time usitumie matako kufikiri ngendere wa msoga wewe ambaye hata hujui figure
 
Wewe ndio kichaa hiyo hesabu ya milioni 55 uneitoa wapi? Tanzania kuna wafanyabiashara milioni 55? Next time usitumie matako kufikiri ngendera wa pwani wewe.
Kosa langu ni kuchapia tu (keyboard mistake !) Nimesema machinga milioni tano tena makadirio ya juu kweli wanasumbua watanzania wasio machinga milioni 55, sio wafanya biashara.
Makadirio ya sasa ya watanzania wote ni milioni 60 ndugu, sensa iliopita tulikuwa milioni 55+.
Nimesema f#ck all crazy machinga sijasema f#ck all machinga.
Hivi machinga anaempiga mtu ngumi kisa hajanunua biashara yake ni mzima akili mkuu? twende taratibu sasa naona umehamaki, ntakupa mifano mingi tu ili ujue kuna machinga wehu.
 
Back
Top Bottom