West standard
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 441
- 649
Nataka ifike mahali iteuliwe siku moja kwa mwaka tuingie mahali tutoe nyongo kwa Viongozi wabovu kama kina Magufuli.
Huyu Magu Mungu ameshamalizana naye, kiburi na jeuri yote kwisha.Nataka ifike mahali iteuliwe siku moja kwa mwaka tuingie mahali tutoe nyongo kwa Viongozi wabovu kama kina Magufuli.
Waambie wafe kabisa ili wakutane nae.
Nchi Imekuwa kama jalala
Ondoka barabarani mnatusababishia keroWewe huna tofauti na mama anayemtesa mtoto wa mke mwenzie
Swali tamu sana hili 🤣🤣🤣Nani amekwambia mimi ni ng'ombe?
Ulimwengu uliopita hauna msaada na wakati huu.Tuombe Mungu iliapatikane kama alivyokua Hayati Raisi Dr. Julius Kambarage Nyerere pamoja na Hayati Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Wanyonge wanatakiwa kutetewa sasa hivi wanyonge wanapata shida sana wamachinga wametolewa bila shirikisho, kwa sasa hawana msaada wote.
Malimshirikisha nani kwenda kuvamua barabara. Machinga milioni 5 msumbue wagu milioni 55. Muwazibue njia, muwaibie,muwatukane muwashije matako kina mama nk , nkTuombe Mungu iliapatikane kama alivyokua Hayati Raisi Dr. Julius Kambarage Nyerere pamoja na Hayati Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Wanyonge wanatakiwa kutetewa sasa hivi wanyonge wanapata shida sana wamachinga wametolewa bila shirikisho, kwa sasa hawana msaada wote.
WAlie tuu hadi wajaze machozi kwenye mapipa,nchi ya kuwa hovyo hovyo kuchafua mazingira hakuna..Hatimaye kilio cha machinga kumlilia JPM, chaanza kusikika, baada ya gari la matangazo kupita mitaa ya tandika na kuwaambia kuwa mwisho wa kupanga bidhaa zao, pembeni mwa barabara, mbele ya maduka, na kwenye hifadhi za barabara mwisho ni 18.10.2021.Hivyo wanatakiwa kuondoka mapema na kwenda sehemu walizopangiwa, baada ya muda huo, wasije kuilaumu serikali!!Ndipo wakaanza kuimba "tunakukumbuka jpm mtetezi wa wanyonge sasa haupo tumeanza kunyanyaswa" Sasa naona serikali imeamua kweli, ni jambo zuri sana kwani ilikuwa ni kero tupu.
Umekuwaje machinga mtoto mzuri ww.....Sisi wamachinga tutakoma
Wao wanamlilia JPM,wenye maduka wanamshangilia Samia...."maisha ni mua". leo wala patamu kesho wala fundo!!Hatimaye kilio cha machinga kumlilia JPM, chaanza kusikika, baada ya gari la matangazo kupita mitaa ya tandika na kuwaambia kuwa mwisho wa kupanga bidhaa zao, pembeni mwa barabara, mbele ya maduka, na kwenye hifadhi za barabara mwisho ni 18.10.2021.Hivyo wanatakiwa kuondoka mapema na kwenda sehemu walizopangiwa, baada ya muda huo, wasije kuilaumu serikali!!Ndipo wakaanza kuimba "tunakukumbuka jpm mtetezi wa wanyonge sasa haupo tumeanza kunyanyaswa" Sasa naona serikali imeamua kweli, ni jambo zuri sana kwani ilikuwa ni kero tupu.
CCM wazee wa figisu walijua mapema ndio maana ukifanya jogging na tisheti ya TLP unaswekwa ndani....Naona dalili za sisiemu kupoteza uchaguzi ujao.
Maisha tuUmekuwaje machinga mtoto mzuri ww.....
njoo nikupe duka lako
Na huyo mama ni weweWewe huna tofauti na mama anayemtesa mtoto wa mke mwenzie
Wewe ndio kichaa hiyo hesabu ya milioni 55 uneitoa wapi? Tanzania kuna wafanyabiashara milioni 55? Next time usitumie matako kufikiri ngendere wa msoga wewe ambaye hata hujui figureMalimshirikisha nani kwenda kuvamua barabara. Machinga milioni 5 msumbue wagu milioni 55. Muwazibue njia, muwaibie,muwatukane muwashije matako kina mama nk , nk
Upumbavu wa machinga umefija mwisho.
Mtu anatoroka shule form two anakimbilua umachinga, anabeba nyembe, vitana na mikanda miwili .
F#ck all crazy machinga!!
Lini walishinda?Naona dalili za sisiemu kupoteza uchaguzi ujao.
Kosa langu ni kuchapia tu (keyboard mistake !) Nimesema machinga milioni tano tena makadirio ya juu kweli wanasumbua watanzania wasio machinga milioni 55, sio wafanya biashara.Wewe ndio kichaa hiyo hesabu ya milioni 55 uneitoa wapi? Tanzania kuna wafanyabiashara milioni 55? Next time usitumie matako kufikiri ngendera wa pwani wewe.