Machinga waanza kumlilia Hayati Magufuli

Naona dalili za sisiemu kupoteza uchaguzi ujao.
Ni lini ccm iliwahi kutegemea kura za wamachinga kutangazwa washindi?

Ccm haishindi kwa kupigiwa kura miaka mingi tu sasa.

By the way naunga mkono na miguu uamuzi huu wa serikali ya ccm, nchi haiwezi kuwa kama gulio.

Vendors lazima wapangwe katika mpangilio na pedestrian wapate pia haki ya kutumia njia walizotengewa.
 
Wale ndugu zangu wa pale kariakoo kilio kitakuwa kikubwa mno.
Leo walikuwa wakipita wanawaandika majina.Na kuwaambia wajiandae kuelekea maeneo mapya watakayo pangiwa

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Kama kuna kitu cha maana utawala wa awamu ya sita wanafanya ni hili la wamachinga.

Magufuli alikuwa ni mtu anaipeleka hii nchi kuzimu.
 
WIZI WA KULA NA MATUMIZI YA VYOMBO VYA DOLA NAZO UNAITA FOMULA?

Shame on you!
ndio maana nikaziita kanuni, wao wanachotaka ni jibu tu , kwani nini maana ya kanuni, utegemee eti nitawanyima kura waogope ni kujidanganya tu, ndio maana kuwaambia mambo ya katiba mpya hamuelewani kabisa, kwani kutumia hizo kanuni itakuwa ngumu.
 
Hatimaye kilio cha machinga kumlilia JPM, chaanza kusikika, baada ya gari la matangazo kupita mitaa ya tandika na kuwaambia kuwa mwisho wa kupanga bidhaa zao, pembeni mwa barabara, mbele ya maduka, na kwenye hifadhi za barabara mwisho ni 18.10.2021.Hivyo wanatakiwa kuondoka mapema na kwenda sehemu walizopangiwa, baada ya muda huo, wasije kuilaumu serikali!!Ndipo wakaanza kuimba "tunakukumbuka jpm mtetezi wa wanyonge sasa haupo tumeanza kunyanyaswa" Sasa naona serikali imeamua kweli, ni jambo zuri sana kwani ilikuwa ni kero tupu.

A1EA36A4-2C00-4836-831E-42411051460F.jpeg
 
Sasa mkuu hasira zako unazileta kwangu tena?mimi nimeleta habari kama nilivyoshuhudia!!basi HAMUONDOLEWI na kila mmachinga mh.amesema atampa mtaji wa milioni 10;!!fulahi wewe, VIMBA, VIMBAAAA!!!
nani kakwambia me machinga?
 
Back
Top Bottom