Road reserve wameharibu sanaaa nimeliona baadhi ya maeneo walikotolewa, wamechimba, wameweka zege ni hatari tupuHawa jamaa ni kero kubwa. Yaani sio meza tu. Wengine wamejenga kabisa
CCM hawawezi poteza uchaguzi kwa swala la machinga (japo ni ukweli pia CCM haijawahi shinda kihalali). Wakati huu husikii CCM kupaza sauti kuwatetea, baada ya kugundua machinga si wapiga kura.Naona dalili za sisiemu kupoteza uchaguzi ujao.
machinga wazawa wa mijini ni wachache, wengi ni wa kuja.Mitaa mingi ya Dar, leo ni mvulugano sasa wameamini kumbe serikali imeamua kuwaondoa , japo naona lazima tu nguvu itabidi itumike kwani ukiwasikiliza ni wale BORN HERE HERE, DEAD HERE, HERE!!
Mkuu una stress za nini? Na ww itafika wakat utateseka na maradhi ambayo utaomba kupambazuke ulione jua,9
Waambie wakamfuate KABURINI.
Mkuu swal hili kwa ukarib Ni Kama linakamtego ndani yake ambapo kunamtu anategewa akanyage batani watu wakinukishe, ila ukimsikiliza makala Ni Kama anataka kuwaondoa wamachinga, ila kwa upande mwingine Ni Kama wamachinga wanataka kumwondoa makala,
Wamewapangia sehemu zipi!?walizopangiwa
Kwahiyo machinga nchi nzima wanatoka hii mikoa?
Lini CCM walishinda kwa kupigiwa kura mkuu?Naona dalili za sisiemu kupoteza uchaguzi ujao.
Waulize wahusikaWamewapangia sehemu zipi!?
Warudi vijijini wakalimeNi wapi machinga walimpiga mfanya biashara ngumi? Hapa ni kwamba serikali imekurupuka kuwahamisha pasipo kuwatengea maeneo maalamu ya kufanya biashara waanze kwanza kuwaandalia maeneo ya kufanya biashara kisha wawahamishe pasipo hii ya kuwahamisha pasipo kuwaandalia sehemu yao maalamu.
Tunachoiomba serikali ni kufanya maamuzi sahihi pasipo kuwaonea hawa vijana walioamua kujiajiri kupitia umachinhnga.
Endelea kujidanganyaMkuu swal hili kwa ukarib Ni Kama linakamtego ndani yake ambapo kunamtu anategewa akanyage batani watu wakinukishe, ila ukimsikiliza makala Ni Kama anataka kuwaondoa wamachinga, ila kwa upande mwingine Ni Kama wamachinga wanataka kumwondoa makala,
Sasa ukiangalia kwa mapana yake, utagundua kuwa swala hili si Jambo jepesi Kama watu wanavyodhani, maan ukiliingia kwa pupa utadhalisha chuki ambayo inaweza kughalim maisha ya mtu/watu, kwa hyo unapaswa kuwa makini Sana unapolitatua,
Halafu nmemsikia makala akisema kuwa TANROAD NA TARURA, Kama sijakosea wafanye usafi kwa kupanda maua sijui makolo kolo gan anyway so mbaya ila hajashauliwa vzr nadhan au amedanganywa, akaangalie kazi za hao aliowataja Kama kunasheria inawalinda juu ya hlo alilolisema na Kama ndvyo Ni kwa maeneo yapi??
Pili unapowatoa hao kabla jiulize Nan aliwaruhusu? kumbuka hawakujikuta tu wapo Hapo, Sasa Ni lazima Kama hakuna mtego hapo ajiangalie atumie thinktank yake vizr
Mwisho niseme tu wamachinga Ni ajira isiyokuwa rasim ila inayowaajir watu wengi Sana, hvyo kuwaondoa Bila plan wap unawapeleka unatengeza bom ambalo likaja kulipuka hakuna ataesalia...
B
yupo sahihi, CCM Wana formua yao ambayo kisayansi huwezi ueleza.WIZI WA KULA NA MATUMIZI YA VYOMBO VYA DOLA NAZO UNAITA FOMULA?
Shame on you!
Hakuna cha sayansi tusidanganyane hapa.yupo sahihi, CCM Wana formua yao ambayo kisayansi huwezi ueleza.
Wewe maradhi sugu ya kutisha yanayokunyima usingizi naona yamekukaribia kabisa. Utatesekaaa utateseka mnoooo na utakongorokaaaaaa utakuwa kama mbwa koko asiyejua harufu ya mchuzi.Mkuu una stress za nini? Na ww itafika wakat utateseka na maradhi ambayo utaomba kupambazuke ulione jua,
Kwa sasa najua ukilala unapumzika kabisa na kukikuchwa unalaum aaah kwa nn kumewah kupambazuka, nikuambie tu ipo nyakati utaomba walau kuwah kupambazuka maana unaona kama roho itakatika kukiwa bado na giza.
Hapo ndio utayakumbuka haya ya mitandaoni ya kumsema marehemu, wazee hawakuwa wajinga kusema marehemu hasemwi.
We are on same same way.
Sent using Jamii Forums mobile app