Mabro na swali

Mim ni mvivu kuongea ilo tu
Anhaa wewe ni wale watu wakimya sio๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…, basi achana nao wafurahi, Mimi pia ni miongoni mwa watu ambao nimeshakuwa na story nyingi sana na shemeji yangu hadi kuna kipindi nikawa nahisi kabisa bro wangu alianza kunitilia mashaka coz kuna siku zingine alikua anakuja kwa kutushtukiza ili aone nini kinaendelea๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Kwahiyo hayo mambo yapo mkuu, cha muhimu hakikisha wanazingatia mipaka yao tu(hasa mkeo).
 
Jifanyee unasafiri alafu ucku urudi uchunguliee Kwa drishaa uone yanayoendelea ndani chumbani kwako alafu ufe Kwa presha kisa kuona dogo anavyopress hyo Mali ya mkeo ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Hakikaa n huzuni..
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ukumla mke wake
 
Hapana mkuu... Na licha ya story zote tulizokua tunapiga ila hata kwa bahati mbaya hatukuwahi kufika huko mbali.๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….

Nimekuhadithia ili ufanye kumithirisha, kwamba usiwe na wasiwasi waache waenjoy.
Mlikuwa mnaongea nini?
 
Mwambie dogo aache tabia za kike za kukaa kaa jikoni na kupenda kupiga story na wanawake.

Akae nje huko awe anapiga story hata na maboda boda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ