Mabro na swali

Mabro na swali

Hapo sasa ndio kuna shida mkuu😅😅... Jitahidi huo mstari wa mpaka kwanza uusogeze juu kidogo ili uache nafasi kubwa ya uhuru(kucheza) hapo katikati.
Sasa naongea nae nini akinipa umbea naitikia tu weee kumbe labda ishu za kwao kiufupi nina majibunya short
 
kwa hiyo na wewe demu wako akiwa anapiga story na mshkaji, hadi fununu zinakufikia kuwa jamaa ana mmanua demu ako utalipokeaje?
Alafu nikupe mbinu mtu ambaye ashapiga mkeo huwezi kuta et wapo na mastory mengi kiivyo ukiona mastory mengi ujue hakuna kitu hapo au labda ndo yupo kufukuzia ila siyo ashapiga kama mimi siwezi kuona wivu kwakua nishampa principal zangu akitoka nnje ya hapo ni red
 
Fanya uchuguzi, kama dogo anakula mkeo, au mdogo wako ana tabia za kike.
Kama anamkula, utajua cha kuamua. Ila nikiwa mimi mke natimua maana ndio hana akili.
Kama dogo ana tabia za kike hapo sasa utajua cha kufanya.
labdo kuna mahali unazungukwa, lazima ujue chanzo cha hiyo bond
 
Mimi hakuna mwanaume wowote humu duniani namuamini kumuacha na Mke wangu au mtoto wangu(awe wa kike au kiume),

Ata Awe baba mzazi , (kaka au mdogo wangu wa tumbo moja).

NB: turudi kwa mada.
Kwahiyo huyo dogo bado anasoma na anamazoea na shemej yake.
Ina maana wote wanaweza kuwa wanalingana umri?, au wana interest sawa?.

Kama sio, basi mwanamke ana matatizo.

Kama ndio. Ni agemate, bro, kazi unayo.

Tumia busara sana.
Ntakuambia
Acha kabisa ngumu
 
mtoto wa kiume, unaonekana mida ya misos, au unapotea siku nzima huonekani home, kamata viatu nenda uwanjani kapashe misuli,, ukirudi unanuka jasho kuanzia mwili nguo hadi viatu vinatoa harufu 😆,, ukishakula huna mda na tamthilia. ushakula matizi ukijiegesha tu usingizi huo na mkoromo wa hatar
Hatari
 
Fanya uchuguzi, kama dogo anakula mkeo, au mdogo wako ana tabia za kike.
Kama anamkula, utajua cha kuamua. Ila nikiwa mimi mke natimua maana ndio hana akili.
Kama dogo ana tabia za kike hapo sasa utajua cha kufanya.
labdo kuna mahali unazungukwa, lazima ujue chanzo cha hiyo bond
Et natimua mke 🤣
 
Back
Top Bottom