Haya bwana, wenye mawzao ya kisasa, wenye akili sana mlonge. Ila debe tupu haliachi kutika, tutasema tu humu na matusi kibao, sijui kama kuna mtu wa kuchukua maoni yetu humu.
kuwafikia mbona yana wafikia sana tu..mambo yamebadilika hata wao wanajua kwamba maoni hayatolewi kwenye midahalo na mkongamano tu hata kupitia mitandao pia watu wanaweza kutoa maoni yao.