Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Tatizo kubwa ni ukumbi ule ni mdogo sana na walikuwa wamejaaa wanafunzi wa City wa sekondari na hivyo wanafunzi wengi sana wa Vyuo hata wananchi wa kawaida hapa Dodoma walikatazwa kuingia ndani ya ukumbi ule hivyo wananchi kwa kushirikiana na wanafunzi hasa wa UDOM waligoma kuingia na kuwaambia kuwa ufanyika katika uwanja mpana sana kama Jamhuri
lakini TBC1 wanaripoti kuwa wanafunzi wa UDOM walifika pale ukumbini asubuhi na mapema; kilichofuata ni mchujo. wakawa wanazuiwa wasiingie.
we cannot go like this.