Mabomu ya Machozi yatumika kuwasambazi wananchi pamoja na Wanafunzi Mjini Dodoma

Huu ni mswada tu, sasa itakapofika wakati wa wananchi kutoa maoni ya katiba mpya, si ndio itafanyikia kwenye sebule/nyumba za watendaji wa vijiji halafu watasema, nafasi hakuna.

Tatizo mkuu sijaona jambo ambalo serikali imejiandaa na kulitekeleza kwa haki na ufanisi. Kila jambo ni lazima lizue ukiukaji wa haki na maandalizi duni kabisa. Halafu wananchi wanapolalamika badala ya wao kuomba radhi na kuboresha mipango yao, wanaita polisi wapige mabomu kisha wanaanza kulaumu Chadema.
 
Tusifanye mzaha kabisa - lazima ieleweke atukubali ng'oooo. Hawa FFU wana sahao kwa haki yetu ya Katiba ni ya wote. Wajinga sana na kwa sababu wengi wao awana Elimu kwa hivyo wanasukumwa tuu kama gari mbovu.

Hawa FFU wasubiri tuu --- waombe sana Mungu CCM sitoke Madarakani kama inavyo watumia kutuwua. Watapata sana shida we know them by names and faces ----- their days are numbered. Nchi hii sio ya CCM ni zetu wa Tanzania na sisi ndio tumewapa dhamana. Wasitumie madaraka kutunyanyasa kwenye nchi yetu.

We will fight till the right of the new Constitution inakua na Haki na Ukweli. ATUTAKI VIRAKA tumekata. CCM wanataka tuu VIRAKA ili kulinda masli yao. NO WAY -- CCM YOUR DAYS ARE NUMBER AND YOU ARE GOING TO DIE A NATURAL DEATH.
 
Kama vijana kutaka kutoa maoni kwa muswada tu ndio tumeanzishiwa mabomu je kukija swala la sasa kuundwa kwa katiba yenyewe mpya wananchi huenda tukapigwa sasa na vifaru sio???????????????
 
Kamwe hatuta tishika na kwa jinsi ninavyoona huko mbele hali siyo nzuri yaani sioni mwanga kabisa..

Kila siku mabomu sasa tutayazoea halafu zitakuja risasi za moto kama arusha...

Naangalia amani ya nchi hii naona imepotea na chanzo ni ccm..

Jakaya kikwete tupe nchi yetu wewe na watu wako na chama chako mmeshindwa kutatua matatizo ya msingi ya nchi hii..
 
Back
Top Bottom