Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
Liweje sasa kuuwa....?
kama muuaji anakamatwa anaachiwa basi " Liwalo na liwe"
Liweje sasa kuuwa....?
Swala la kuachiwa sina uhakika halo ila Hugo jamaa namfahamu sana ni fundi magari Anita remeni Nikita naishi arusha alikuwa fundi wangu, anaendesha Toyota balloon hats IMO silahaa nasikia amemilikishwa juzijuzi tu,.niHuyo aliyeua mwenzake na kuachiwa na polisi ni nani?
kama muuaji anakamatwa anaachiwa basi " Liwalo na liwe"
Ndio maisha ya arusha hayo ambako 99% ni chadema.
Upo sahihi kamanda, muda huu ndiyo tunatoka kwenye mazishi ya yule jamaa ailyeuawa, na watu walikuwa wengi sana, na kilichowafanya watu wawe wengi kwenye ule msiba ule siyo umaarufu wa marehemu, bali kuachiwa huru kwa muuaji na mabomu ya polisi.
Tuwe makini tunapowachagualia wanetu majina! Mzazi au mlezi anayempatia mwanaye majina yafananayo na zoba, anamlaani mtoto toka uchanga wake! Athari zake tunaziona humu jamvini.
acha kunitusi!wewe binti unagubu kama upo kwenye sikuzo
Isipokuwa Polisi..!Ndio maisha ya arusha hayo ambako 99% ni chadema.
Nampa hongera sana mleta mada maana amejaribu kuunganisha tukio la juzi na la leo ili kumpa msomaji picha kamili...huu ndio uandishi uliotukuka!
Bahati mbaya niko kwenye simu ningekuongezea Reputation mkuu wangu.
Achana na zomba ambaye hata akiona picha anauliza..."imepigwa na nani?"
Ndio maisha ya arusha hayo ambako 99% ni chadema.
waambie waandishi wakae mbali
Labda tufanye umehakikisha kuwa ni kweli, je? ungechangia jambo gani zaidi ya haya uliyoandika?