Mi bishoo tu
Senior Member
- Jun 3, 2023
- 122
- 292
Habarini wanajamvi,
Leo kuna gari Moja ndogo ya abiria (hiace)imegonga watoto wawili wa shule na kuwaua karibu na sheli moja hivi.
Sasa kuanzia asubuhi wananzengo wamefunga Barabara zote kuu hasa Ile ya Mwanza-Musoma. Gari linalolazimisha kupita linapigwa mawe balaa. Magari mengi yashaharibiwa vibaya.
Hali hii imelilazimu jeshi la polisi mkoa wa Mwanza kuongeza askari maeneo ya Magu huku mabomu ya machozi yakipigwa kuanzia saa Saba mchana mpaka usiku huu.
Raia wamekamata mpaka Barabara ndogo ndogo huku wakishambulia magari yanayopita.
Leo kuna gari Moja ndogo ya abiria (hiace)imegonga watoto wawili wa shule na kuwaua karibu na sheli moja hivi.
Sasa kuanzia asubuhi wananzengo wamefunga Barabara zote kuu hasa Ile ya Mwanza-Musoma. Gari linalolazimisha kupita linapigwa mawe balaa. Magari mengi yashaharibiwa vibaya.
Hali hii imelilazimu jeshi la polisi mkoa wa Mwanza kuongeza askari maeneo ya Magu huku mabomu ya machozi yakipigwa kuanzia saa Saba mchana mpaka usiku huu.
Raia wamekamata mpaka Barabara ndogo ndogo huku wakishambulia magari yanayopita.