Inahuzunisha sana !Sijui ni ubaguzi au nini?
Ipo hivi, Kuna kijana yupo zanzibar, kwa muda sasa.
Jumapili aligongwa na gari akiwa pembeni ya Barabara, baada ya kumshusha mkewe kwenye kibaiskel chake abaki kibandani, ili yeye akafuate mzigo wa kuongeza kitandani chake.
Madhara aliyoyapata ni makubwa, na hii ilisababishwa na dereva wa gari ile maana baada ya kumpamia aligundua hajafa hivyo akarudisha gari nyuma nadhan alitaka kumuua kabisa, hivyo ndipo alipopita juu ya mkono na akaamua kuondoka. Hali hiyo ndiyo ilisababisha kuvunjika mkono.
Wasamalia bado wapo wakati yule dereva anafanya hayo kuna gari ilikuwa inakuja kwa mbele, kumbe yule dereva wa gari ya mbele aliliona tukio lile vizuri hivyo akakinga gari barabarani, jambo lilosaidia kukamatwa kwa dereva yule.
Sasa mkewe kaenda polisi kufuatilia,kaambiwa wamemuachia kwa kujidhamini,
Lakini polisi wamemuachia bila hata kuwasiliana na waliotendewa uovu huo, na upo usemi kuwa mbara ni ngumu kupata haki vituo vya polisi. Ndivyo ndungu wanavyoambiwa na mwenyeji.
Jeshi la polisi tendeni haki ,ulinzi ni suala la muungano.
Ipo hivi, Kuna kijana yupo zanzibar, kwa muda sasa.
Jumapili aligongwa na gari akiwa pembeni ya Barabara, baada ya kumshusha mkewe kwenye kibaiskel chake abaki kibandani, ili yeye akafuate mzigo wa kuongeza kitandani chake.
Madhara aliyoyapata ni makubwa, na hii ilisababishwa na dereva wa gari ile maana baada ya kumpamia aligundua hajafa hivyo akarudisha gari nyuma nadhan alitaka kumuua kabisa, hivyo ndipo alipopita juu ya mkono na akaamua kuondoka. Hali hiyo ndiyo ilisababisha kuvunjika mkono.
Wasamalia bado wapo wakati yule dereva anafanya hayo kuna gari ilikuwa inakuja kwa mbele, kumbe yule dereva wa gari ya mbele aliliona tukio lile vizuri hivyo akakinga gari barabarani, jambo lilosaidia kukamatwa kwa dereva yule.
Sasa mkewe kaenda polisi kufuatilia,kaambiwa wamemuachia kwa kujidhamini,
Lakini polisi wamemuachia bila hata kuwasiliana na waliotendewa uovu huo, na upo usemi kuwa mbara ni ngumu kupata haki vituo vya polisi. Ndivyo ndungu wanavyoambiwa na mwenyeji.
Jeshi la polisi tendeni haki ,ulinzi ni suala la muungano.