leo ni diwali
Diwali ndo nini?
Hizi sikukuu zingine ambazo hazina hodi zitasababisha maafa, ukizingatia wabongo wameshang'atwa na nyoka, wakiona nyasi tu wanashtuka! Kwahiyo hata kama na mimi nina dhehebu ambalo sikukuu yake ni kutembea uchi nitaruhusiwa?
si diwali hiyo?...maana hapa nilipo nazisikia fataki za kutosha tena kwa sauti ya juu sana....
Ni sikukuu madhehebu flani ya kihindi ndo wanaingaia mwaka mpya wao kwa mujibu wa kalenda ya imani yao, Izo ni fataki punguza uoga na matangazo yametolewa Tz nzima wananchi wasishtuke wenzetu wanasherekea mwaka mpya, wewe na wenzako mliwasumbua na fataki zenu tarehe 1 january. Uwe na tabia ya kusoma matangazo kwenye mabango mbalimbali uwe upadated.Jamani yale mabomu kulipuka kwenye kambi za jeshi inaendelea, na sasa ni zamu ya Nevy Kigamboni!
Hizi sikukuu zingine ambazo hazina hodi zitasababisha maafa, ukizingatia wabongo wameshang'atwa na nyoka, wakiona nyasi tu wanashtuka! Kwahiyo hata kama na mimi nina dhehebu ambalo sikukuu yake ni kutembea uchi nitaruhusiwa?
DIWALI HIYO WADAU, kuna jamaa yangu kapata meseji kutoka Zantel wana mu wish Diwali njema
Kuna haja ya kuwa serious kidogo na kuacha kupost upuuzi upuuzi kama huu. ni upuuzi mrindimo wa fataki kuita bomu. kama ulikuwa na lengo la jokes ungepost kwenye jukwaa lake