Mabom! Mabom! Mabom!

Mabom! Mabom! Mabom!

watu wamekimbia wameacha magari yao maeneo ya posta. Na kuna mzee mmoja kakimbia kutoka hoteli akiwa uchi kuelekea baharini. Hakuna usafiri kutoka maeneo ya posta, kariakoo n.k. Ni taharuki kubwa

Khaaa we ni noma pale kati ishu ya mzee. Teh teh teh
 
humu hakuna greater thhnkers kama wapo wachache wengi ni wendawazimu na wakurupukaji! Unasemaje mabomu wakati huna uhakika? Shem on you!
 
hivi hawa si watanzania wenye asili ya asia sasa mambo ya mwaka mpya wao kivipi!! Jan 1 si ndo mwaka mpya wetu au nachanganya
 
Back
Top Bottom