Tabrett
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 522
- 338
- Thread starter
- #81
Maamuzi ni ya familia au huyo mwenzie?
Huyo mwenzie hana ndugu wanaosota akawapeleka wakatoke au anampenda zaidi huyo mdogo wako?
Familia kama haijaridhishwa iseme NO! Bint akijifanya haelewi mrudisheni kwa wazazi wake huyo mwenzie amfate huko,amgharamie safari na huyo mdogo wako akishafunzwa na ulimwengu atarudi tu maana mchuma janga hula na wa kwao!!!
binti ni yatima amehamia kwa wazazi wangu mwaka juzi after wazazi wake wote kufariki