Mabinti wa kibongo na Oman

mwanangu yaani ukoo unakaa kudiscuss kijana wa miaka 20 afanye nini!utamaduni wetu wa kulea vijana hadi miaka 30 ndio wawe na maamuzi yao utatupeleka pabaya sana hasa kwenye ulimwengu huu wenye mengi! Kama hajitegemei kimaamuzi wazazi waamue tu!Maana anayetaka kwenda nae ni rika moja maana yake na yeye haaminiki kimaamuzi vile vile!muda mwingine maamuzi tunayofanya yanaakisi uwezo wetu wa kufikiri pia
 
Ni hivi Tabrett, msilete mchezo kabisa na hiyo kitu, aisee muwe wakali kabisa.Kataeni kwa nguvu zote na huyo rafiki yake piga marufuku asionekane hapo.Huko hakuna kingine zaidi ya kujiuza katika umri huo.Watu wanalia kila siku,hata humu kuna ushahidi.Kazi kwenu.

Thats why ñmelileta hapa najua nitapata strong reasons za kumuelewesha na kulipinga hilo.Thanx mkuu
 
Last edited by a moderator:
mwanangu yaani ukoo unakaa kudiscuss kijana wa miaka 20 afanye nini!utamaduni wetu wa kulea vijana hadi miaka 30 ndio wawe na maamuzi yao utatupeleka pabaya sana hasa kwenye ulimwengu huu wenye mengi! Kama hajitegemei kimaamuzi wazazi waamue tu!Maana anayetaka kwenda nae ni rika moja maana yake na yeye haaminiki kimaamuzi vile vile!muda mwingine maamuzi tunayofanya yanaakisi uwezo wetu wa kufikiri pia

Amina!
 
Mkuu,
kwa uzowefu wangu na muda ambao nimeishi UAE. Nimeshuhudia wadada toka
mataifa mbalimbali wakiteseka kwa kinyanyasika sana tena wenye umri mkubw kuliko huyo dogo wako. Hakuna haja ya kumruhu kuja UAE pasipo mpango nadhubuti.
 
Mkuu omani kuna mtoto wa dada yangu alipelekwa kama mfanyakazi wa kuuza duka alipofikishwa kaambiwa kuwa duka limeibiwa na hatimae kawa mfanyakazi wa ndani kateswa kama nini ikabidi siku moja kapiga simu kwa kuiba ndipo dada kaenda kumchukua kuna wengine wanateswa sana na kufukuzwa na waishia kuwa watu wa kujiuza na nauli hana ya kurudi
ni hayo tu mwambie asiende huyo hajui yaliyoko huko anaona sifa kuwa kafika sifa lakini maisha yake siyo salama mijitu ya huko bado inaamini kuwa utumwa duniani hauwezi kuisha kwa waafrika
hivi kwa nini achukuliwe akafanye kazi huko wakati na huko kuna watu kama huku ujue kuwa huyo anapelekwa kwa matumizi yasiyo halali

nmependa reasoning zako,nashukuru
 
Hamumpendi ndugu yenu, badala kumtafutia future asome mnataka akawe mtumwa wa kupaka watu hina. HUYo rafiki ana mamlaka gani juu ya ndugu yenu?
 
Mkuu,
kwa uzowefu wangu na muda ambao nimeishi UAE. Nimeshuhudia wadada toka
mataifa mbalimbali wakiteseka kwa kinyanyasika sana tena wenye umri mkubw kuliko huyo dogo wako. Hakuna haja ya kumruhu kuja UAE pasipo mpango nadhubuti.

ninahitaji mtu kama wewe unipe facts zitazonisaidia kumuelewesha huyu binti
 
Habari za asubuhi wanajamvi,wanafamilia tumejikuta katika njia panda baada ya mdogo wangu wa kike(mtoto wa bamdogo) anaishi na wazazi wangu kua rafiki yake ambae alikua Oman anafanya kazi katika salon ya kuchora hina amekuja kumchukua ili waondoke wote wakajiunge katika kazi hiyo.Wanafamilia wote hakuna anayeafiki hilo suala ila yeye ndio amekomaa na huyo rafiki yake anajaribu kutushawishi kua hakuna tatizo atakua katika mikono salama,sisi tunahofia maana binti ndio ana 20 yrs hana professional yoyote ni form four leaver tu.Wanajamvi najua humu kunawenye uzoefu na Oman katika hili naomba mnisaidie kunifunua macho kweli hili jambo liko salama kwa binti huyu?

Mkuu...nitakupa honest opinion yangu..nimekutana na dada zetu wa kiafrica wengi mchana wanafanya kazi za kibinadamu usiku wanajiuza..kiukweli kama hakuna muelekeo usimuache aende..mimi naishi dubai na hili nimeliona na naaapa mwanangu wa kike hatoenda nchi za watu kwa mshahara wa milioni au milioni mbili.

Mkuu inaweza kua kuna kupaka hina ila vishawishi ni vingi na maisha ni ghali sana...

Nikiwa kama mtanzania nakuomba muelezedogo wenu anachotaka kimbilia its not worthy it all.
 
Mkuu...nitakupa honest opinion yangu..nimekutana na dada zetu wa kiafrica wengi mchana wanafanya kazi za kibinadamu usiku wanajiuza..kiukweli kama hakuna muelekeo usimuache aende..mimi naishi dubai na hili nimeliona na naaapa mwanangu wa kike hatoenda nchi za watu kwa mshahara wa milioni au milioni mbili.

Mkuu inaweza kua kuna kupaka hina ila vishawishi ni vingi na maisha ni ghali sana...

Nikiwa kama mtanzania nakuomba muelezedogo wenu anachotaka kimbilia its not worthy it all.

nashukuru sana mkuu nlihitaji mtu kaama wew unisaidie kuielewesha
 
Kujiuza ni uamuzi wa mtu .

Si kweli kabisa kujiuza si uamzi wa mtu, kuna watu wanajiuza kutoka na situations.Mfano unakuta dada wa kazi anaotokea mkoani na amefika Dar boss wake akaamua kumtelekeza na hana msaada wowote na hajui aanzie wapi na aishie wapi, unakuta msichana kama huyo asipoangukia katika mikono salama basi atajiuza tu tena kwa kulazimishwa kwa mara ya kwanza na mwishowe anazoea na inakuwa biashara yake,nenda gereza la watoto pale nyuma ya DIT karibia na geti la kuingilia Regency Hospita ukisikia habari za wale watoto wa kike waliofungwa pale kwa kosa la kukamatwa wakijiuza usiku utatokwa na machozi
 
Wasiwasi wetu ni kua je itakua kweli ni hina tu au ndo mwamvuli wa kufanyia ufirauni mwingine!

Nyie Kama Familia mmeishachukua hatua gani za kumsaidia ama aendelee na masomo au kumsaidia kupata shughuli ya kufanya ili akose sababu ya kwenda huko Omani?

Mkishindwa, tafteni boyfriend wake mumuombe amshauri kuachana na huo mpango, hawezi kuchomoa kwa my sweet baby wake.
 
waswahili wanasema uoga wako ndo umaskin wako, ila kwa nchi za arabs siwashauri kabisa...i have a vivid example mabinti wengi wa kiafrica ni wahanga wa utumwa ktk nchi hizo. . .kamwe msimpeleke huko kwa vyovyote vile
 
waswahili wanasema uoga wako ndo umaskin wako, ila kwa nchi za arabs siwashauri kabisa...i have a vivid example mabinti wengi wa kiafrica ni wahanga wa utumwa ktk nchi hizo. . .kamwe msimpeleke huko kwa vyovyote vile
 
Naomba Naomba niko chini ya miguu yako in Jesus Name usithubutu kabisa kufanya hivyo, hana skills zozote, hana the right color maana huko wamejaa wafilipino na watu wenye rangi nyeupe, wananyanyaswa kuliko mbwa, mtu yoyote asikudanganye kuwa eti anaenda kufanyakazi ya kupaka hina, anampaka nani? hiyo ni must akifika ananyang'anywa documents, ataishi kwa kuliwa mande na kinyume cha maumbile, hakuna cha ubalozi wala nani anayejishughulisha nao hao, ni jana tu nimesoma rais wa Phillipines akijadili swala hili hata serikali yake imelishindwa, angalia hata wavulana wanaoenda huko kujenga viwanja vya mpira wameshaonekana kunyanyaswa kuliko na FIFA imejaribu kuingilia hawataliweza pesa inatembea na utaratibu wao wa maisha, hata wanawake wao wenyewe wananyanyaswa, watanzania tuacheni ushamba, hicho ni kifo, huyu mwenzake sitashangaa kama kalipwa kuleta watu, mimi binafsi partner wangu msomi kabisa wa kimataifa alikutana nao hao watu na wakampa deal awapate wasichana wenye light colors soko kubwa sana wanaenda kufanya tofauti, humu ndani watanzania tusaidiane, hiyo tenda ya mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu tunaichekea kwa kuw watanzania tumejaa unafiki, tuna treat watoto wa wenzetu kama wapita njia mungu atatuhumuku jamani huyu binti afanye kazi ya kupaka hina hapa nyumbani zanzibar kwenye tourism kuna upakaji hina, form four failure atafanya nini huko lugha hajui, bila shaka hata dini yake ni wrong
 
Back
Top Bottom