mwanangu yaani ukoo unakaa kudiscuss kijana wa miaka 20 afanye nini!utamaduni wetu wa kulea vijana hadi miaka 30 ndio wawe na maamuzi yao utatupeleka pabaya sana hasa kwenye ulimwengu huu wenye mengi! Kama hajitegemei kimaamuzi wazazi waamue tu!Maana anayetaka kwenda nae ni rika moja maana yake na yeye haaminiki kimaamuzi vile vile!muda mwingine maamuzi tunayofanya yanaakisi uwezo wetu wa kufikiri pia