hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
kweli hii kitu ni risk sana ila huyo mwenzie ndo humwambii kitu
Ni bora mkachunguza kwa watz wanaoishi huko Oman ili kupata picha halisi.
kweli hii kitu ni risk sana ila huyo mwenzie ndo humwambii kitu
nyie ndo wasemaji wa mwisho wa familia ni jukumu lenu kutoa maamuzi, mtu baki hawezi kuwalazimisha! kwanza bado mdogo sana wakaanze kumla 0713 waarabu wasivyo na utani na 0713!mkuu hiko kitu ndio hata sisi kinatutia wasiwasi ila rafiki yake anapinga vikali sana kauli hiyo
Kujiuza ni uamuzi wa mtu .
Uarabuni kuna format moja tu ya ajira kwa wageni na hasa wafrika nayo ni utumwa. Kama unajali utu na heshima asiende kama unajali fedha tu anaweza kwenda.Habari za asubuhi wanajamvi,wanafamilia tumejikuta katika njia panda baada ya mdogo wangu wa kike(mtoto wa bamdogo) anaishi na wazazi wangu kua rafiki yake ambae alikua Oman anafanya kazi katika salon ya kuchora hina amekuja kumchukua ili waondoke wote wakajiunge katika kazi hiyo.Wanafamilia wote hakuna anayeafiki hilo suala ila yeye ndio amekomaa na huyo rafiki yake anajaribu kutushawishi kua hakuna tatizo atakua katika mikono salama,sisi tunahofia maana binti ndio ana 20 yrs hana professional yoyote ni form four leaver tu.Wanajamvi najua humu kunawenye uzoefu na Oman katika hili naomba mnisaidie kunifunua macho kweli hili jambo liko salama kwa binti huyu?
Kujiuza ni uamuzi wa mtu .
Habari za asubuhi wanajamvi,wanafamilia tumejikuta katika njia panda baada ya mdogo wangu wa kike(mtoto wa bamdogo) anaishi na wazazi wangu kua rafiki yake ambae alikua Oman anafanya kazi katika salon ya kuchora hina amekuja kumchukua ili waondoke wote wakajiunge katika kazi hiyo.Wanafamilia wote hakuna anayeafiki hilo suala ila yeye ndio amekomaa na huyo rafiki yake anajaribu kutushawishi kua hakuna tatizo atakua katika mikono salama,sisi tunahofia maana binti ndio ana 20 yrs hana professional yoyote ni form four leaver tu.Wanajamvi najua humu kunawenye uzoefu na Oman katika hili naomba mnisaidie kunifunua macho kweli hili jambo liko salama kwa binti huyu?
inaonekana huyo binti mmemchoka, miaka 20 alitakiwa awe busy na masomo au na kitu chochote chenye future ya maisha yake. inaonekana hana mwelekeo huyo binti.
ushauri wako mzuri sana ila umetumia matusi kuuwasilisha,mjinga ni yule anayejifanya anajua kitu na kumbe hajui ,anyways point takenMuangalie huo rafiki yke tabia yke na familia hapa tanzania yukoje. Wengi sana wanaenda kwa ajili ya hinna kwan inalipa na wanaonekana mafanikio yao hasa wanaochukuliwa wanatoka znz ss km hatak kusoma na kipaji anacho mwache akiendeleze km uchangudoa ht hapa anaweza kufanya bila ya kushurutishwa. Achen ujinga kama ni kuhofia weng wasingepeleka watoto wao nje kusoma kuhofia kuwa ma.la.ya
Wanafamilia mnabidi mtoe msimamo kama wazazi....form 4 leaver...kwanini msiweke mkazo aendelee na masomo.Maana ana safari ndefu,ama hata shule hataki?