piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
Kujiuza ni uamuzi wa mtu .
Wakati mwingine siyo uamuzi bidada, nimesoma stori kibao za watu wanaodanganywa kwa staili hii, wakifika huko wananyang'anywa all travel documents na wanakuwa at the mercy ya alowapeleka huko, wanafanyishwa ngono kwa kwenda mbele, kazi ya kuchora hina indeed, wonders shall never cease, na alivyo bado mbichi atagenerate wateja wa kutosha, fursa zipo hata Tanzania azichangamkie siyo lazima awe nje ya nchi.