Mabinti wa bongo mtanisamehe hapa

Mabinti wa bongo mtanisamehe hapa

Status
Not open for further replies.
Inaelekea wewe umeona picha tu mfadhaiko wa akili na mawazo ukakupata pole sana. Mabinti wako Tanzania toka nje ya TZ usikie sifa, ukikatiza sehemu utajasikia jamaa wanabishana "Ni Mtz" hapo baibe mwenyewe awe baba na mama makabila tofauti na hii ndio sifa kubwa tuliyonayo. Wewe ndio wa kwanza kuona unawakandya hadharani mabinti wa nchini kwako, shame on you. Tembea uone ungekuwa umefika rwanda usingewasifia jamani wanaroho mbaya na visasi visivyoisha. Sinza wako wengi mguse mmoja bahati mbaya uone.
 
Aisee Rwanda kuna watoto waliokamilika watoto waliiva watoto wenye kila sifa kuanzia tabia asikwambie mtu.

Nikitaka kuoa najirusha zangu rwanda kule bwana tanga haioni ndani Rwanda dahhhhh naweza kuchange uraia.
wewe ni mke au mme
 
uzuri uko usoni kwa mtu anayeona, natofautiana sana ikiwa hao ni wazuri kisa wembamba na warefu.... au hamjui waafrica tumeumbwa kutokana na duara...?
 
WanyaRwanda wanalipa Mkuu - Mimi nimeishi nilikuwa nafanya kazi huko - ni balaa ndugu yangu. Wanalipa.
 
Ahahahahaaaaaa mpunga ukikata wanasepa...na pia waume wenza utaaambiwa kaka zake, wajomba...ila wanajua mapenzi watamu na wana figure matata
 
Mtoa mada umekurupuka kweli leo, mbona mimi nina binti wa hapa hapa TZ na mzuri sana kwangu maana tumeshikamana kweli kweli, sura yake niliridhika nayo, tabia yake iko njema. Tena naamin hakuna mzuri kuliko huyu niliyenae wewe kurupuka uende kwa kagame uoe wapenda bata utajuta kuvuka border mkuu, hao wadada acha waolewe na warwanda wenzao tu wewe hujui hapa Tz tuna wadada wa kutosha tena wazuri kila aina, tembea kwanza.

Mkuu Tz kunaogopesha hasa siku hizi na hizi ripoti
MATOKEO ya utambuzi wa vinasaba ya mwaka 2012 yametoka hivi karibuni yakionyesha kuwa asilimia 44 ya wanaume wanaokwenda kupima, si wazazi halisi wa watoto hao.
Hii si mara ya kwanza, kwani mwaka 2008, matokeo ya utambuzi wa vinasaba yalionyesha kuwa asilimia 60 ya wanaume walikuwa wamedanganywa kuhusu uhalali wa watoto.
DNA ni kifupi cha ‘Deoxyribonucleic Acid’, hizo ni chembe chembe asili za urithi au viinitete ambavyo hupatikana katika kila kiumbe kilicho hai.
 
Aisee Rwanda kuna watoto waliokamilika watoto waliiva watoto wenye kila sifa kuanzia tabia asikwambie mtu.

Nikitaka kuoa najirusha zangu rwanda kule bwana tanga haioni ndani Rwanda dahhhhh naweza kuchange uraia.

Wee chalii ni vipi wewe...sasa mim na uyo mtusi nani zaidi..tatizo unaishi sijui kishumundu hutaki kuizunguka tanzania uone uumbaji wa mungu alivyotuumba yani usingezubutu kupepesa macho kwa hao wanyarwanda...nenda alafu utuletee mrejesho na iko kibamia chako uta. Tomb. .ewa mpaka..tulia nyumbani wazuri tuko hapahapa kama mzuri mimi
 
kwa upande wa tabia umeongopa mkuu. Wale watu tabia yao chafu hakuna mfano kwan unaeza oa af kuanzia wadogo zako hadi baba wadogo wakakusaidia et,
 
Ila wanyarwanda kiukweli wengi wao ni wazuri. Mi napenda shepu zao hasa wale wembamba!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom