Hajakosea, "the North Western Zone"
kudadadadadekiHajakosea, "the North Western Zone"
Kipya kinyemi ingawa kidonda
Hao sasa
Mimi binafsi nimekumisi.
msalimie bibi. Ni hayo tu.
Aisee rwanda kuna watoto waliokamilika
watoto waliiva
watoto wenye kila sifa kuanzia tabia
asikwambie mtu nikitaka kuoa najirusha zangu rwanda kule bwana
tanga haioni ndani rwanda dahhhhh
naweza kuchange uraia
Wala Haina haja ya wewe kuhamia Rwanda, nenda Ngara,biharamulo na Karagwe utakutana nao wakutosha sana tu kwa huku bongo tunawaita wahangaza. Kazi ni kwako mkuu
Oa tu huko maanake hata siye tumechoshwa na vibamia vyenu,
Halafu hawana vitambi kama wa kibongo kila 3 wawili wana vitumbo nundu.
Duuuh munkari dada
Aisee rwanda kuna watoto waliokamilika
watoto waliiva
watoto wenye kila sifa kuanzia tabia
asikwambie mtu nikitaka kuoa najirusha zangu rwanda kule bwana
tanga haioni ndani rwanda dahhhhh
naweza kuchange uraia