Mabinti wa bongo mtanisamehe hapa

Mabinti wa bongo mtanisamehe hapa

Status
Not open for further replies.
Wewe kitambi cha mtu kinakuhusu nini?
Mnataka tufanye mambo to please em men,!
No thank you,
najisikia faraja na furaha kuwa na kitambi,niliyenae kama hakipende atafute wa size yake,

Wape wape vidonge vyao wakimeza wakitema shaur yao ha ha ha wamesahau wanavyotubembelezaga huku wanavichezea vitambi vyetu
 
yaani mitumbo mibayaaaa alafu oh una kibamia...sasa tumbo kubwa linazuuia mdushe
 
kubali ukweli totoz za rwanda ni beautiful tz ladies r jjust sexy. watoto wa rwanda wen young sublime when old devine

Hata sie tunapendwa kama mnavyowapenda haoo wanyaru
 
I have been there in 2012. Ni kweli ni wazuri saaana ila kuhusu tabia mmhhhhh. wanaheshimiana watusi kwa watusi. Ila wewe wakuja wakiamua kukugeuka ni shughuli. But ukibahatisha shukuru mungu coz ni wapole machoni ila wakatiri.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom