Sasa kama huyo binti anaweza kumwomba mzazi wake hela bila huruma wala aibu, unafikiri wewe ni nani haswaa mpaka ashindwe kukuomba. Na hapo anakuomba hela akiwa hana mpango wa kukupa hiyo mbunye. Kama unaona kuombwa 10k/= au 30k/= inakushushia heshima achana nao hao, jaribu hawa wenye miaka 30+ hawa hawaombi chini ya 50k/= , hawa nadhani mtawezana