Mabinti wa 2000s nani kawaroga?

Mabinti wa 2000s nani kawaroga?

INSONSILE

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
1,934
Reaction score
2,876
Kwa sasa hali ilivyo, kufahamiana na mdada, mkapeana namba za simu, hata katika mazingira official ni tatizo. Ukisalimiana naye, mkachat mawili matatu whatsaap, next move, mizinga. Kwanza anaweka chats za joke kidogo, ukirespond tuu, kwisha habari yako.

Yaani hata mbunye hujaomba tayari umeshaombwa hela. Utaambiwa gesi imeisha, luku hakuna, naumwa, leo sijala yaani sina hela, sina mb siwezi kuingia whatsaap. Sasa imagine ukiomba mbunye nini kinafuata?

Mimi formula yangu hakuna shilingi yangu itakayoenda bure aisee,maana ukichukua hela yoyote imeandikwa, 'Fedha halali kwa malipo ya shilingi ......".

Sasa nalipa hizo hela kwa shughuli gani halali? Kiubinadamu huwa nikielewa tatizo lako ni genuine naweza kukusaidia kilicho ndani ya uwezo wangu kama binadamu yeyote ila siyo kwamisingi ya kutafuta fadhila ya kulipwa mbunye baadaye.

Sasa ninyi mnahamishia kila kitu kwenye sex. Bora serikali ihalalishe hii biashara, alafu nyie wadada wekeni menu kabisa. Mfano:
  1. Kuchat normal (mtuwekeee bei)
  2. Kuongea kwenye simu (bei)
  3. Kuchat whatsaap (bei)
  4. Kuchat romantic (bei)
  5. phone sex (bei)
  6. Kunyanduana (bei)
  7. ......
  8. .............
Mkifanya hivi hata serikali itakusanya mapato mengi tuu.
Nasema hivi kwa sababu kwa sasa ukishawasiliana na mdada muda kidogo unaanza kuombwa hela, ili hali wewe hata bado hujaomba mbunye.
Nawasilisha. Mapovu ruksa
 
Lakini ni kama mko 50/50
Hata nyie si huwa mnaomba mchezo mapema? Ama siku hizi mnasubiri subiri?
Na hiyo ndo ratiba yetu. Me mwanamke alonivutia namwambia kwanza then nachukua namba ili tupange tukio.

Vitoto vya 2000 vinaona jamaa kama anachelewa kuomba game, ndomaana vinapiga mzinga ili uviambie vije vichukue.
 
Lakini ni kama mko 50/50
Hata nyie si huwa mnaomba mchezo mapema? Ama siku hizi mnasubiri subiri?
Na hiyo ndo ratiba yetu. Me mwanamke alonivutia namwambia kwanza then nachukua namba ili tupange tukio.

Vitoto vya 2000 vinaona jamaa kama anachelewa kuomba game, ndomaana vinapiga mzinga ili uviambie vije vichukue
Kumbe ni hivi 🙌
Ndo hali halisi
 
Kwa sasa hali ilivyo, kufahamiana na mdada, mkapeana namba za simu, hata katika mazingira official ni tatizo. Ukisalimiana naye, mkachat mawili matatu whatsaap, next move, mizinga. Kwanza anaweka chats za joke kidogo, ukirespond tuu, kwisha habari yako.

Yaani hata mbunye hujaomba tayari umeshaombwa hela. Utaambiwa gesi imeisha, luku hakuna, naumwa, leo sijala yaani sina hela, sina mb siwezi kuingia whatsaap. Sasa imagine ukiomba mbunye nini kinafuata?

Mimi formula yangu hakuna shilingi yangu itakayoenda bure aisee,maana ukichukua hela yoyote imeandikwa, 'Fedha halali kwa malipo ya shilingi ......".

Sasa nalipa hizo hela kwa shughuli gani halali? Kiubinadamu huwa nikielewa tatizo lako ni genuine naweza kukusaidia kilicho ndani ya uwezo wangu kama binadamu yeyote ila siyo kwamisingi ya kutafuta fadhila ya kulipwa mbunye baadaye.

Sasa ninyi mnahamishia kila kitu kwenye sex. Bora serikali ihalalishe hii biashara, alafu nyie wadada wekeni menu kabisa. Mfano:
  1. Kuchat normal (mtuwekeee bei)
  2. Kuongea kwenye simu (bei)
  3. Kuchat whatsaap (bei)
  4. Kuchat romantic (bei)
  5. phone sex (bei)
  6. Kunyanduana (bei)
  7. ......
  8. .............
Mkifanya hivi hata serikali itakusanya mapato mengi tuu.
Nasema hivi kwa sababu kwa sasa ukishawasiliana na mdada muda kidogo unaanza kuombwa hela, ili hali wewe hata bado hujaomba mbunye.
Nawasilisha. Mapovu ruksa
Ikifika hatua ukakutana text inasema "Nikuambie kitu.." hapo kijana unatakiwa uzime simu kabisa na utoe sim card kabisa ili isije ikajiwasha tena hata kwa bahati mbaya. Maana kituo kinachofuata ni mzinga wa hatari sana kama ule wa gari kugongana uso kwa uso.

Nilimkubali binti mmoja ambaye amechagua kuwa muwazi na amechora tattoo ya msimbo wa lipa namba kabisa kwenye mwili wake. Hapo ndipo tulipofikia
 
Sasa kama dume lazima uwe na kitu cha ku offer hakuna mzigo wa bure.

Yaani ule nyama laini bila kulipia kweli? Hebu wacha kujidanganya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom