Mabinamu zetu...Sokwe,Nyani,Kima,Tumbil i nk

Hao ni wa kufugwa wapo katika Zoo,na kwa kawaida Nyani jike anapokuwa katika heat huwa dalili zinajionyesha kwa kuvimba hayo maeneo na kila anapochelewa kupata Dume ndio uvimbe huo huongezeka na kufikia katika hatua kama hii unayoiona hapo,tofauti na mwituni ambapo huwa wanaishi katika makundi wakiwa pamoja na madume hivyo ni vigumu kumuona nyani wa porini akiwa katika hali hii..
aisee asante kwa elimu kaka nilishaanza kubishana na akili yangu hapa.hata hivyo vina genye mbaya sana.
 
Ushindwe!!!

Ndugu usidanganywe na mambo ya dini,maana dini ndizo zilizotutenganisha na huyu nyoka lakini toka mwanzo Nyoka alikuwa rafiki wa Binadamu hata leo hii hasa vijijini hakuna nyumba ambayo nyoka hayumo naamini kila nyumba nyoka wamo maana wao wanapenda kuishi na Binadamu pamoja na wao kudaganywa na watu wa dini mbali-mbali kuwa Nyoka ni shetani kitu ambacho si sahii kabisa.
 
Ndugu usidanganywe na mambo ya dini,maana dini ndizo zilizotutenganisha na huyu nyoka lakini toka mwanzo Nyoka alikuwa rafiki wa Binadamu hata leo hii hasa vijijini hakuna nyumba ambayo nyoka hayumo naamini kila nyumba nyoka wamo maana wao wanapenda kuishi na Binadamu pamoja na wao kudaganywa na watu wa dini mbali-mbali kuwa Nyoka ni shetani kitu ambacho si sahii kabisa.
Nyoka noma mkuu wangu!
Hata nikimwona tu mwili unasisimka.
 
Nyoka noma mkuu wangu!
Hata nikimwona tu mwili unasisimka.

Hii inatokana na ulivyosimliwa kuwa nyoka ni hatari basi hali hiyo ikakaa kwenye fikra na ukajenga hivyo ndiyo maana unapomwona nyoka mwili unasisimka,Lakini kumbuka na ujiulize nyoka ni wengi sana kwenye mazingira yetu kama wangekuwa hatari basi wangeuma watu wengi sana,Nyoka mpaka akafikia hatua ya kukuuma lazima atakuwa ametoa WARNING au taarifa ya mapema mara tatu.Kwanza Nyoka anapoona kitu kinakuja mbele yake anaweza kusimama kama ana uwezo huo ili ajionyeshe kwako kuwa yupo pale hivyo ni jukumu lako Binadamu ujiongeze kama hutafanya hivyo Nyoka anatoa nafasi nyingine ya upendeleo kwa kukutemea mate(kama ana uwezo) ambayo pia ni dawa ya macho kama ukizidi kwenda mbele yake tu ndipo anaweza kuamua kukuuma Kumbuka Nyoka hawezi kukuuma bila kutoa taarifa ya awali hii ni kutokana na yeye kutambua uhusiano kati yake na Binadamu.
Najua kuna nyoka kama KOBOKO na wengine ambao wana sumu kali ya kuua kwa haraka lakini nao naweza kusema si hatari sababu Nyoka hao hata siku moja si rahisi kukaa karibu na Binadamu hata kama watakaa karibu na Binadamu huwa wanatoa EARLY WARNING yaani taarifa ya mapema ili ujue uwepo wao ili naye uchukue hatua ya kuondoka eneo hilo.
 
Hii inatokana na ulivyosimliwa kuwa nyoka ni hatari basi hali hiyo ikakaa kwenye fikra na ukajenga hivyo ndiyo maana unapomwona nyoka mwili unasisimka,Lakini kumbuka na ujiulize nyoka ni wengi sana kwenye mazingira yetu kama wangekuwa hatari basi wangeuma watu wengi sana,Nyoka mpaka akafikia hatua ya kukuuma lazima atakuwa ametoa WARNING au taarifa ya mapema mara tatu.Kwanza Nyoka anapoona kitu kinakuja mbele yake anaweza kusimama kama ana uwezo huo ili ajionyeshe kwako kuwa yupo pale hivyo ni jukumu lako Binadamu ujiongeze kama hutafanya hivyo Nyoka anatoa nafasi nyingine ya upendeleo kwa kukutemea mate(kama ana uwezo) ambayo pia ni dawa ya macho kama ukizidi kwenda mbele yake tu ndipo anaweza kuamua kukuuma Kumbuka Nyoka hawezi kukuuma bila kutoa taarifa ya awali hii ni kutokana na yeye kutambua uhusiano kati yake na Binadamu.
Najua kuna nyoka kama KOBOKO na wengine ambao wana sumu kali ya kuua kwa haraka lakini nao naweza kusema si hatari sababu Nyoka hao hata siku moja si rahisi kukaa karibu na Binadamu hata kama watakaa karibu na Binadamu huwa wanatoa EARLY WARNING yaani taarifa ya mapema ili ujue uwepo wao ili naye uchukue hatua ya kuondoka eneo hilo.

Well said mkuu nitakubaliana nawe kuwa nyoka ni muhimu sana katika Ecosystem hasa katika kupunguza idadi ya viumbe waharibifu kama panya na Rodents wengine,lakini nina shaka kidogo hapo uliposema kuwa nyoka anatoa tahadhari(sio kwamba nakataa)Kuna nyoaka kama huyo uliyemtaja yaani Koboko,yeye nimeshasikia kuwa akifikia umri fulani huwa anataka kuuma tu na ana uwezo hata wa kukukimbiza mradi tu akuume sasa sijui kuna ukweli hapo..??
 
Mkuu kitalolo nashukuru kama umeliona hilo nimetoa mada hii kama majibu pale wengi waliponiuliza katika mada nyingine hasa pale niliposema "umemdhalilisha huyo sio nyani ni ngedere" ndio wengine wakataka kujua tofauti zao lakini ninashukuru wengi wamenielewa na kama unahitaji kujua habari za wanyama wengine niambie tu na kama nitakuwa na muda nadhani nitaweza kukusaidia na kwa kuanzia tu unaweza kunitoautishia hawa jamaa wawili hapa chini..

cheetah%2B9.jpg



Na huyu hapa..


220px-Leopard_africa.jpg
Wa juu ni Duma(cheetah) wa chini ni Chui.
 
Well said mkuu nitakubaliana nawe kuwa nyoka ni muhimu sana katika Ecosystem hasa katika kupunguza idadi ya viumbe waharibifu kama panya na Rodents wengine,lakini nina shaka kidogo hapo uliposema kuwa nyoka anatoa tahadhari(sio kwamba nakataa)Kuna nyoaka kama huyo uliyemtaja yaani Koboko,yeye nimeshasikia kuwa akifikia umri fulani huwa anataka kuuma tu na ana uwezo hata wa kukukimbiza mradi tu akuume sasa sijui kuna ukweli hapo..??

Ni kweli kabisa nyoka hawezi kukuuma bila tahadhari ya mapema,mimi nimeishi na Nyoka karibu miaka 30 sasa Nyoka wa aina yoyote lazima ana njia zake za kutoa tahadhari kwa Binadamu Picture 191.jpg ili asimdhuru,Mfano swira yeye pindi unapomkaribia huwa anatoa sauti ya kukutisha kama hutamsikia atakutemea mate kama tu unaendelea kumfuata last-worning anasimama ili umwone na utishike na uchukue hatua ya kukimbia ili naye aweze kutafuta maficho.Ukija kwa kifutu yeye ni mpole mno wengine wanamwita Mlokole yeye hata ukielekea aliko yeye atasimama na kukuangalia tu tatizo linakuja utakapomkanyaga atatoa sauti ya kutisha sana ili kukujulisha kuwa umemkanyaga kama ataona hana jinsi nyingine basi anaweza kukuuma lakini ni nadra sana na nyoka huyo ana sumu mbaya sana Kuhusu koboko kukimbiza watu ovyo si kweli na kama ukiona nyoka anakimbiza watu jua kuna mambo yafuatayo-Kwanza lazima kuna mtu alijaribu kumpiga na labda akamjeruhi kwa sababu Nyoka wote wana Inner-Camera alishachukua image ya mtu ikakaa kwenye macho yake hivyo kila anapoona binadamu anajua ni yule-yule aliyemshambulia kipindi kile ndo maana anafukuza watu lakini si kawaida yake.Pili kuna uwezekano wa nyoka huyo kuwashambulia hasa ngombe kwa sababu wakimona Nyoka huwa wanamzingili kwa kushangaa sasa Koboko anapokosa sehemu ya kupenya akimbie anaamua kuwauma hivyo anapokuwa kwenye hali hiyo huwa anachukua picha hiyo kila wakati anapokutana na hao ngome anawashambulia,Ki ukweli Koboko ni hatari akikuuma kitu ambacho si rahisi maana yeye ana uwezo wa kukuona kabla ya wewe hujamwona hivyo anajificha ili asikudhuru hata kama mtakutana naye akitoa ishara wewe Timua mbio.
 
Nashukuru sana kaka Echolima nadhani nikipata tena muda nitakuuliza zaidi habari za hawa jamaa zetu kwani mimi ni msukuma na nimekaa sana maeneo yenye nyoka lakini tofauti na wengine mimi huwa simuogopi nyoka na ninapenda sana kujua tabia zao pamoja na wanyama wengine hivyo naomba tuwe pamoja mkuu..
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru sana kaka Echolima nadhani nikipata tena muda nitakuuliza zaidi habari za hawa jamaa zetu kwani mimi ni msukuma na nimekaa sana maeneo yenye nyoka lakini tofauti na wengine mimi huwa simuogopi nyoka na ninapenda sana kujua tabia zao pamoja na wanyama wengine hivyo naomba tuwe pamoja mkuu..

Hakuna taabu mimi nina uzoefu mkubwa sana na nyoka na nimesomea miaka mitatu chukua na uzoefu nilionao toka utotoni nyumbani kwetu tunafuka nyoka tokea Babu yangu na Baba naye aliisji nao picha ya hapo juu huyo ni nyoka wa familia yetu ana miaka 17 sasa.
Kwa ujumla huwezi sema kuwa nyoka ni hatari lakini kuna ukweli usiopingika kuwa Nyoka ni rafiki wa mwanadamu,cha ajabu watu wengi sana vijijini huwa wanalala na Nyoka bila wao kujua maana Nyoka anapenda sana Joto la Binadamu mara nyingi huwa anapanda hata kitandani na kujilaza penmbeni mwa akifurahia Joto la la Mwanadamu na unaweza kugeuka na kumlalia hakuna taabu kwake maana anaouwezo wa kulainisha mifupa yake ikawa kama plastic baadaye anaweza kutoka na kukicha tu anaenda sehemu yake ya maficho kujificha tayari kwa kusubiri siku nyingine.Lakini ataacha tu kuja kama kuna siku mtakutanisha macho naye siku hiyo atatafuta sehemu nyingine na kuhama hapo na kwenda sehemu nyingine ambako ni tulivu kumbuka nyoka hapendi kelele anapenda sehemu ambayo ni tulivu.
 
Last edited by a moderator:
Wajuzi wa National Geographic, tunasubiri ufafanuzi wenu kwenye hayo hapo juu!


Huyo wa juu anapatikana Japan na anajulikama kama Japanise Mekak na ni aina pekee ya primate anayeweza kuishi katika Hi Altitudes zilizofunikwa na barafu.Ila siri yake ni huwa anakaa karibu na chenchem zenye maji ya moto,hivyo baridi ikimzidia anaenda kuoga kuongeza joto la mwili,huyo wa pili anapatikana zaidi katika misitu ya Amazon..
 
Ni kweli kabisa nyoka hawezi kukuuma bila tahadhari ya mapema,mimi nimeishi na Nyoka karibu miaka 30 sasa Nyoka wa aina yoyote lazima ana njia zake za kutoa tahadhari kwa Binadamu View attachment 65689ili asimdhuru,Mfano swira yeye pindi unapomkaribia huwa...Kuhusu koboko kukimbiza watu ovyo....

Swira ndiyo kobra? Na Koboko ndiyo black mamba?
 
Swira ndiyo kobra? Na Koboko ndiyo black mamba?

ndio mkuu wangu........ila nikiambiwa nichague mmoja.....nadhani nitachagua cobra.....black mamba hapana.......hafai.......
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
huyu bwana ananiuzi.....eti ni kweli wasichana na wavulana nanihii zao zinafanana......?
na huu hapa ni binamu yake eeeh......?


View attachment 65821



Sawa kabisa ulichosema na anachonifurahisha ni kuwa jamii yake ni Matrilineal,yaani wanawake ndio watawala na vidume vinavyozaliwa kwenye kundi vikishabalehe vinafukuzwa kundini visije vikajamiiana na dada zao au mama zao.Na huko vinakokwenda vikifika vidume hivyo vinakuwa chini ya amri ya wanawake maisha yao yote akikiuka hilo na huko wanamtoa mbio,vipi kama wanadamu wangekuwa hivyo Preta..??
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom