Mkwe akiwa karibu inakuaje kwani, nimevutiwa kujuaha ha ha.....hawa bana nshawahi kuwaona wakiwa faragha na memsapu.....usiombe mkwe awe karibu.....ni aibu....
Mkwe akiwa karibu inakuaje kwani, nimevutiwa kujua
Preta inakuwaje?khaaaa!.....wacha kabisa.....
Kama anaweza kuelezea, nimekua curious kujuauwiii... Paka Mweusi njoo huku unaitwa.......
Kama anaweza kuelezea, nimekua curious kujua
Kama anaweza kuelezea, nimekua curious kujua
Hah very interesting kumbe...........Mpaka sasa najiuliza nianzie wapi kukuelezea,lakini kwa ufupi ni kuwa hawa viumbe huwa wana tabia ya ajabu sana hasa waonapo watu mnawashangaa.Na wakishagundua hilo nao ndio huanza kuwaonyesha utundu wao,na huwa hawachoki..
Kawaida yao wanapenda sifa na kuonyesha mapenzi yao mbele za watu ni bora usiwatazame ukiwa na Mkweo,watakutia aibu.Hebu watazame hawa,wametoka kote walikotoka wakaona waje watoe show mbele ya binadamu...